Shule ipi ya A-level yenye ada nafuu?

Shule ipi ya A-level yenye ada nafuu?

cha ukweli

Member
Joined
Aug 18, 2014
Posts
67
Reaction score
5
Habari zenu wakuu! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayefahamu shule ya advance level ambayo ada yake ni bei nafuu naomba anijulishe... Iwe ya mchanganyiko au hata ya boyz tu.

Naomba anijulishe na ada yake ni kiasi gani!

Ahsanteni sana wakuu!
 
Jitegemee JKT Sec, ada yake nafuu, na inawaalim wengi wa kutosha.
 
Nenda jitegemee JKT ukakutane na kina afande k, babu ndi,mroki n olando nk
ada lak 6.66
 
Is this equation balance?Ada nafuu=material duni
 
Itende high school Mbeya. HGE, HGL, HGK & HKL Ada 500,000 day, 1,100,000 Hostel/bweni.
 
:embarrassed1:
Ahsante sana mkuu... ungetusaidia kutuambia na ada yake ni sh.
ngapi ?

Sijajua imepanda shilingi ngapi ila nenda direct shule ilipo tank bovu...hata matokeo yao yanaridhisha...
 
Du mkuu mbona ni nyingi maana shule zote za kata ada ni 70,000
 
Back
Top Bottom