figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,853
Kwenye gazeti la majira wameandika kwamba kuna shule ya Msingi huko bagamoyo ambayo ina madarasa matatu tu. na hiyo shule ina miaka kumi tangu ianzishwe. Kumbuka bagamoyo si mbali kutoka ikulu ya dar es salaam na ni nyumbani kwao na rais wa Tanzania. kama hapo bagamoyo ndo hivyo je kule kwetu kanyamahela hali ikoje?.
Hii ni aibu kwa ccm. mia
Hii ni aibu kwa ccm. mia