Shule bora ya serikali

1.pcm-ilboru,kibaha,mzumbe,tabora boys
2.pcb-ilboru,mzumbe,tb,kibaha
3.pgm-sengerema sec
4.cba-kibaha.
5.cbg-hakuna shule maalumu.
6.cbn-jangwani,machame.
7.egm-pugu,mara sec,minaki,galanos.
8.hge-minaki,mara,galanos,umbwe.
9.eca-kibaha,umbwe,arusha sec.
10.hgl-ilboru,
mzumbe,tb.
11.hgk-hakuna shule maalumu.
12.hkl-kisimiri

PGM umesahau IFUNDA TECH and PCM umesahau kisimiri
 
Haya shule bora za private hizi hapa.
1. St. Francis
2. Marian
3. St. Mary Goret
4. St. Joseph millenium
5. Kifungilo
6. St. mary's mazinde juu
7. Kanossa girls
8. Loyola
9. Anwaritte
10. Kibosho
11. Visitation
12. Tengeru boys( part ya marian)
13.
endeleza.....
n:b hizi sio seminary.

MSOLWA umeiweka wapi wewe????? au ujui kuwa ipo kwenye top.zaid ya loyola???????
 
but st francis na marian nnavyoelewa ni skuli za wakatoliki

Yeah marian na st. Francis ni za kikatolik but haziongozwi kidini saana kama uru seminary.au maua.. sawa na feza hz n shulw za kituruki (islamic) but hazipo kidini saana kama kama vle al- haramain nk
 
Shule Bora ni:
1.Ilboru
2.Mzumbe
3.Tabora Boys
4.Kibaha

Baaaaaaaaaasiiii.

Mjumbe pia hajaeleza kama anatafuta shule ya wasichana au wavulana...naona zinatajwa za wavulana tu...kwa Wasichana Kilakala ni miongoni mwa shule bora za wasichana...
 
Back
Top Bottom