ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 141
poa poa mkuu..ilikua ni kukumbushana tu never mind...sorry mkuu nimekupata...si unajua tena mkikutana old school boys uwa akili inaruka kwa muda... samehe sie sana
poa poa mkuu..ilikua ni kukumbushana tu never mind...sorry mkuu nimekupata...si unajua tena mkikutana old school boys uwa akili inaruka kwa muda... samehe sie sana
ivi hizo mnaziita special skuls bado zipo au mnatania watu humu!! najua zilikuwepo enzi za mwalim,siku kama hujitum unapiga zero tu hata kama upo kwenye hivyo vishule unaviita special...the overall best school in TANZANIA is ILBORU SEC. SCHOOL only followed by other SPECIAL schools
ivi hizo mnaziita special skuls bado zipo au mnatania watu humu!! najua zilikuwepo enzi za mwalim,siku kama hujitum unapiga zero tu hata kama upo kwenye hivyo vishule unaviita special...
janjajanjahighschoolhahahah vp kaka umesoma shule gani?
hahahahaah unajua ni nin mkuu ulichosema ni kwel..nakumbuka nlipokua a-levo hao hao unaosema wanatoka special nlikua nawafundisha namba kama kawaida upo!!! sasa unavyosema ni special cjui ni kwa misingi ipi??? anyway si kwamba hazipo wenda zipo ila ni majina tu ndo yamebak,,na sina kinyongo na shule ila nachukia watu(ambao wamesoma huko) wanajiskia sana(baadhi yao) na kudharau wengine akat ni weupe tu!!!!LORDVILLE mbona povu jingi sana? Una chuki gani na special xul? Au Mwenzetu umesoma shule ya secondary janjajanja? Kubali au kataa special xuls rock n' still exist,nimesoma shule ya kawaida olevo nikalamba 8,nkaenda ilboru nkalamba 3 hapo nikaingia udsm nkala gpa4.5 pale! Usikonde lord hata JanjaJanja nayo ni shule komaa mwana unaweza pata hata div 4 ya 33!
unajib umeulizwa au ndo kihere kihere!!!janjajanjahighschool
kwani wewe umesoma shule gan???hahahah vp kaka umesoma shule gani?
Tabora boys kichwa cha tanzania, special skuli ya kwanza tanzania ,kisimiri na kibaha mzumbe wameibuka miaka ya karibun
O'level-Kisimiri,Kibaha,Tabora boys,Mbeya day.
A'Level-Kibaha,Umbwe,Ilboru,Mzumbe
waliobaki woteeee vi.......zame naona Tabora Boys ndo mpango mzma.
Wanajamvi naomba mnisaidie hivi katika shule za serikali shule gani ni the best katika performance?
ivi hizo mnaziita special skuls bado zipo au mnatania watu humu!! najua zilikuwepo enzi za mwalim,siku kama hujitum unapiga zero tu hata kama upo kwenye hivyo vishule unaviita special...
Wanajamvi naomba mnisaidie hivi katika shule za serikali shule gani ni the best katika performance?