Shukuru Kawambwa kwenye mgogoro wa ardhi na diwani mstaafu, Hassani Usinga. Watishiana kufungana pingu

Mwenyewe nimeshangaa. Hapo namuona huyo kijana ndio hajielewi..anatumia nguvu kuliko akili.sasa anavyomfunga na kamba halafu ampeleke polisi,sasa kwa akili yake ndogo polisi watamfunga kawambwa kweli? Ni polisi mjinga atakayefanya hivyo
Mjinga sana huyo Kijana alikuwa Diwani zamani , binafsi nishazinguana naye alitaka kuniletea ujinga kwenye eneo langu nikamchechia mbaya mapaka leo akimuona anisalimii na mimi sina Mpango naye
 
Hao jamaa wana mitonyo😁 uwe waziri wa ardhi utakosaje offer za million 200-500 hizo ili watu wafanye yao?!

Kwa Term mbili za Jakaya na watu walivyokuwa wanapiga hela unadhani anakosaje B hata 10 bank?
Ndio nimeshangaa watu wanavyoamini kuwa kafulia adi kufanya udalali.
Kwa awamu alizofanya kazi lazima awe na ukwasi mwingi, namuonea huruma huyo jamaa.
 
Huyo jamaa ana mitonyo😁 uwe waziri wa ardhi utakosaje offer za million 200-500 hizo ili watu wafanye yao?!

Kwa Term mbili za Jakaya na watu walivyokuwa wanapiga hela unadhani anakosaje B hata 10 bank?

Bado ana pension na mgao wa mshahara kila mwezi😁 tena wenzetu hawakuwa subjected kwenye kikokotoo kwa maana alilamba 100% ya mpunga wake.
Hivi waziri mstaafu si bado anapata mafao ya uwaziri?
 
Hapa Duniani kuna watu hawajui kusoma nyakati angefanya hii enzi za Chato ningesema sawa lakini ana fanya hizi issue enzi za Msoga?
Huyu Wembe ni mjinga sana, ilitakiwa atumie ustaarabu hata kama ana haki si kwa kutumia uhuni na udhalilishaji wa aina hii, nina wasiwasi na pia na huo umiliki wa machimbo ya mchanga kama kaupata kihalali na kwa tabiii hii sidhani kama hata analipa kodi kutokana na uchimbaji huo,na kingine ameharibu barabara hapa inatakiwa mamlaka zifanye kazi yake, kwa jeuri aliyoonyesha sina shaka kwamba huyu jamaa anafanya shughuli zake kimagumashi kwa kuwatishia hao wanakijiji wa kawaida,kama anaonyesha kiburi na jeuri kwa mtu kama Dr Kawambwa na huyo askari mstaafu je kwa mwananchi wa kawaida inakuwaje, yeye Wembe kwa Kawambwa ni ni mtu mdogo sana na ndio maana mzee Kawambwa aliamua kuwasaidia wananchi wenzake, sijui hii jeuri huyu wembe kaitoa wapi, sijui huyu Wembe ni mtu wa wapi! Inabidi atolewe mfano ili liwe fundisho, na nina hakika huyu mhuni huo mgodi ameupata kwa njia za kihuni na halipi kodi au tozo zinazostahili.
 
Hivi waziri mstaafu si bado anapata mafao ya uwaziri?
Pia huyu alikuwa mwalimu wa chuo kikuu hana njaa, akiamaua anafanya kazi za ushauri na kuingiza pesa nyingi tu, hawa wanasiasa bado wanakuwa na network zao na hawa viongozi ambao wapo madarakani kwa sasa, sasa hao wanaodai mzee kachoka wanajidanganya wenyewe na hata hizo kelele za huyo chura sasa ndio atamjua Kawambwa ni nani na kibaya zaidi kasahau hizi ni nyakati na zama nyingine, hao akina Kawambwa ndio wenye nchi kwa sasa.
 
Ndo maana nchi haiendelei.eti alikuwa anasimamia wizara.leo anapigwa Pingu na raia
Tena wizara ya elimu, seriously?? Hii nchi ndio maana wanasiaasa hawatakibkutoka madarakani, trust me katika bunge loote lisle unaweza kuta ni 1% ndio wana uwezo wa kutumia akili kuendesha maisha.

Hawa wabunge na mawaziri wakitoka pale sina uhakika hata kama wanaweza kumudu kuendesha familia zao kwa kutumia akil zao wenyewe!.
 
Halaf hapo kuna mdada mmoja anaongea anamtetea huyo diwani wake huku wazee wanadhalilishwa 😅

Nina waswasi huyo jamaa(wembe) atakuja kutia huruma soon

Ila ingependeza na hao waliokuwa wanamsapoti diwani wachukuliwe hatua ili iwe fundisho kwa watu wengine, tuwe na heshima kwa wazee
 
Waziri ndo kachoka hivyo anaburuzwa hovyo
Ngojeni muone uchovu wake, mje mseme tena, ndio maana wakati wa ukoloni yalikuwepo maeneo yanaitwa uzunguni baada ya uhuru tukaanza kuleta porojo za usawa, juzi kuna mjinga kajenga kituo cha mafuta jirani mama tibaijuka yule nshomile hakumkopesha. Kule mikocheni kuna club ya usiku imejengwa makazi wa watu wanafungulia mziki usiku kucha, madadapoa yanatupa kondomu hovyo na walevi wanakojoa hovyo barabarani hii nchi tabu tupu hatakama ni uhuru usiokuwa na mipaka ni ushenzi tu
 
Back
Top Bottom