Jamani napenda kuwashukuru sana tena sana wale woooooooooooooote tuliokutana fraideiiiiiiiiiiii,ilikuwa pouwa kufahamiana na kubadilishana mawazo mazuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,yale malengo plz tuyatimize si mnakumbuka ziz wiki kukutana kwenye kujiwe chetu kupya?sasa je kuna yoyote alie mkontact Mwanakijiji ili tujue tunakabizi vipi mchango wetu?ntakula hela mm shauri zenu
Duh kumbe kulikuwa na get 2gether ya uchoyo uchoyo mbona hatukutaarifiana wadau?
nitakupigia!......jamani si ai zot utanitafuta?haya nikufate wapi?sa ngapi?
yamani mbn tulikaribisha wadau hamkutaka tu kuja
tunaomba taarifa za fedha za hicho kikao..!waitng for ur kol
sub forumjenny na bujibuji sinza kunani?
Duh kumbe kulikuwa na get 2gether ya uchoyo uchoyo mbona hatukutaarifiana wadau?
mmh acha urongo,ulielekezwa vby kivipi?