shukrani

Pearl

JF-Expert Member
Nov 25, 2009
3,036
309
Jamani napenda kuwashukuru sana tena sana wale woooooooooooooote tuliokutana fraideiiiiiiiiiiii,ilikuwa pouwa kufahamiana na kubadilishana mawazo mazuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,yale malengo plz tuyatimize si mnakumbuka ziz wiki kukutana kwenye kujiwe chetu kupya?sasa je kuna yoyote alie mkontact Mwanakijiji ili tujue tunakabizi vipi mchango wetu?ntakula hela mm shauri zenu
 
Jamani napenda kuwashukuru sana tena sana wale woooooooooooooote tuliokutana fraideiiiiiiiiiiii,ilikuwa pouwa kufahamiana na kubadilishana mawazo mazuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,yale malengo plz tuyatimize si mnakumbuka ziz wiki kukutana kwenye kujiwe chetu kupya?sasa je kuna yoyote alie mkontact Mwanakijiji ili tujue tunakabizi vipi mchango wetu?ntakula hela mm shauri zenu

He! Wewe,,,Pearl hapa tunapinga ufisadi chonde chonde na visenti vyetu:rolleyes:
 
hahaha pearl unanikumbusha rafiki yangu mmoja yaani hata umkabidhi hela ya rambirambi utajuuuta ..
 
naogopa mwaya hela za watu hujui wamezitoa wapi zisije kunitoa roho bureeeeeeeeeeee
hahaha pearl unanikumbusha rafiki yangu mmoja yaani hata umkabidhi hela ya rambirambi utajuuuta ..
 
Duh kumbe kulikuwa na get 2gether ya uchoyo uchoyo mbona hatukutaarifiana wadau?
 
MBONA pledge yangu hujaifuata?ai miin mbona pledge yangu hajaicollect?
 
mmh acha urongo,ulielekezwa vby kivipi?

Ulinambia nikifika salenda sijui niakate kulia afu kulia tena afu kulia. Dah! Nilipoibukia ni siri yangu, lakini at least palikuwa na kaunta ina vinywaji baridi. Tatizo ulisusa kunipa namba zako za simu. Nikalazimika kuchangia SBL wakati nyie mnachangia waathirika. LOL!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom