MWALIMU DAIMA
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 130
- 263
Napenda kutoa shukurani zangu kwa Wana JF wote, Mlionipa ushauri, juu ya njia panda niliyokuwepo. Maumivu ya Mapenzi na hisia niliyo kuwa nayo, na washukuru sana. Sasa nimeamua kuwa mtu huru, na Kaa Kandi kabisa na mpenzi mana yataharibu ndoto zangu.
Ila ila, nalipa kisasi kwa huyu binti kwa kufanya kazi kwa bidii, kusoma kwa nguvu, na kutafuta pesa ili badae ni jenge hospital yangu Kisha ni muajiri huyu binti alie sulubisha moyo na hisia zangu.
Naamin tapata mwanamke atae nipenda na kunijali na sio huyu narcissist woman.
Ni Mimi mwalimu mtarajiwa
Ila ila, nalipa kisasi kwa huyu binti kwa kufanya kazi kwa bidii, kusoma kwa nguvu, na kutafuta pesa ili badae ni jenge hospital yangu Kisha ni muajiri huyu binti alie sulubisha moyo na hisia zangu.
Naamin tapata mwanamke atae nipenda na kunijali na sio huyu narcissist woman.
Ni Mimi mwalimu mtarajiwa