Shukrani za pekee kwa Dena Amsi

Shukrani za pekee kwa Dena Amsi

dah! bila kutaka kujua kinachosomeshwa, acha nikupongeze mwalim DA.
 
Dena Amsi,
Lishemeji langu la ukweli,Salaam!
Mara baada ya salam naomba nichukue fursa hii adimu kukushukuru mbele ya hadhara nzima ya JF kwa kunipa li tuisheni la nguvu,nimefaulu mtihani na ushahidi ni hapo juu kushoto.Wenye jicho la husda,mtimanyongo,roho ya korosho,kauzibe,bora tukose wote na wake zao,na waume zao,na shangazi zao,na wajomba zao,na jirani zao wasisubutu kuingilia ushemeji wetu na wakijaribu washindwe na kulegea.
Kwetu tunasema 'Mae kasinge'!
Shemeji yako wa ukweli,
Bishanga Abashaija.

Bishanga abashaija hongera kwa kutoa shukrani hasa kwa yule anayekuwa awekuelewesha au kukusaidia kwa jambo lolote. Ni wakati muafaka wa wewe kupractice kile ulichojifunza. Najua itakuwa ni jinsi ya kuweka avator. Nielekeze na mimi pia.
 
Bishanga abashaija hongera kwa kutoa shukrani hasa kwa yule anayekuwa awekuelewesha au kukusaidia kwa jambo lolote. Ni wakati muafaka wa wewe kupractice kile ulichojifunza. Najua itakuwa ni jinsi ya kuweka avator. Nielekeze na mimi pia.

Sheikh Yahaya ha ha ha ha ha
 
nilidhani haupo nizipokee kwa niaba yako................!
basi ngoja na mie nikupe hongra kwa kupewa shukrani za pekee.....................!
 
nilidhani haupo nizipokee kwa niaba yako................!
basi ngoja na mie nikupe hongra kwa kupewa shukrani za pekee.....................!

Hiyo haina neno si unajua mie na wewe ni kitu kimoja my dear?!!! Usijali kabisa
 
Back
Top Bottom