Shemeji kazi unayo.....pole!
Darasa na wewe wataka kusoma tuandikishe?? (Nakwambia mambo mengine ni aibu tupu nimemfundisha kitu fulani ndo kaamua kunichana live nilishituka wewe nikasema he nimefanya nini tena??)
Bishanga ndio maana wabongo hatuendelei wewe umesema Dena ni mwalimu mzuri acha nasi tuelimike.Shemeji kazi unayo.....pole!
Mhh darasa la nini maana maelezo hayajasimama kabisa!!! ( Hehehehhe....nxt time mwambie shukrani atoe taratibu sio mpaka kila mtu ajue bana!!!SHEM ATAPATA PRESHA BURE!! )
Kumbe darasa lenyewe unabidi uwe uchi ? aka mi nlikuwa natania tu.No way DA,Uporoto ame qualify? mbona naona amesalula yuko kama Adam na Hawa?
We kubali kuwa mwanafunzi mengine utayajuwa huko shuleni hahaha!
Mi nimeogopa Bishanga aliposema shuleni kwa Dena twende bila nguo.dUH......Hiyo staki aisee!!Lazima nijue nnapoenda usije ukakuta tunafundishwa kuchuna ngozi!
Mi nimeogopa Bishanga aliposema shuleni kwa Dena twende bila nguo.
Sikujuwa mwanzo kabla ya Bishanga kunitonya, niliposikia Dena ndio ticha nikajiandikisha haraka,although the thought of being naked in a room with Liz is apetizing lol!Alafu ndo unataka na mimi nijiunge???TALAKA HAINIITI MIE!!
Acha woga Uporoto,kwani duniani uliingia umevaa? Kwanza shukuru na Lizzy anajiunga,na wengine watakuja tu maana tuishen yenyewe ni ya kimataifa ,ya Harvard haingii ndani!Kumbe darasa lenyewe unabidi uwe uchi ? aka mi nlikuwa natania tu.
dUH......Hiyo staki aisee!!Lazima nijue nnapoenda usije ukakuta tunafundishwa kuchuna ngozi!
Mhh darasa la nini maana maelezo hayajasimama kabisa!!! ( Hehehehhe....nxt time mwambie shukrani atoe taratibu sio mpaka kila mtu ajue bana!!!SHEM ATAPATA PRESHA BURE!! )
denardoren laway,umekubalika ktk jamii big up dena wa ukweli!unafaham kuwa mm ni kakaako?
Hata mimi ningependa kutoa
shukurani zangu sis .
Sante sana kwa kufungua moyo wako
makuanza kutoa thanks mwaka huu ..