USSR JF-Expert Member Jul 15, 2015 9,896 22,666 Mar 6, 2018 #1 Tangu nimekaa hapa Chalinze miaka sasa sijawahi kuona maji yakitoka usiku na mchana kwa wiki mbili mfululizo. Tulikuwa tunakaa mwezi mzima hata mitatu bila bomba kutoa hata tone la maji. Siku hizi maji tele. Mungu akubariki sasa chief wetu!
Tangu nimekaa hapa Chalinze miaka sasa sijawahi kuona maji yakitoka usiku na mchana kwa wiki mbili mfululizo. Tulikuwa tunakaa mwezi mzima hata mitatu bila bomba kutoa hata tone la maji. Siku hizi maji tele. Mungu akubariki sasa chief wetu!
mwanamwana JF-Expert Member Aug 1, 2011 1,076 4,113 Mar 6, 2018 #2 Awamu hii ya tano kapewa shavu sana na Serikali awamu ya tano.