Shukrani kwa mwanadada huyu wa JamiiForums. Alinishauri tatizo la mke wangu kutoshika mimba; wife kesha jifungua!

Shukrani kwa mwanadada huyu wa JamiiForums. Alinishauri tatizo la mke wangu kutoshika mimba; wife kesha jifungua!

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
2,934
Reaction score
8,151
Ndugu zangu.

kwanza kabisa Nipende kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi aliyonijalia maishani mwangu ..

Pili Nipende kuwashukuru wana jf wote kwa mawazo yao na ushauri wao kuhusu changamoto aliyokua anaipitia mke wangu..

Tatu.. salamu hizi za shukrani ziende kwa mwanadada mmoja aliyejitolea kunifata inbox (in box nilifuta chart ) na kunishauri sana kuhusu tatizo la mke wanagu, alisema hata yeye aliwahi kupitia adha kama hiyo akawa bega kwa bega na mimi kunisaidia kwa mawazo na ushauri , pia aliwahi kuwekaga uzi huku kuhusu changamoto yake akiwa anaomba wadau ushauri..

Ndugu dada mpendwa.Popote ulipo nisamehe nilipoteza namba yako kwa kuibiwa simu na ID yako nimejaribu sana kuikumbuka ila bado naona nimeisahau .. popote ulipo mimi ni yule kijana uliyekua unanishauri sana vitu vya kufanya ili mke wangu homone zake zikae sawa aweze kubeba ujauzito. Nakushukuru sana.. mke wangu alikuja kujaliwa kubeba ujauzito na teyari amejifungua bila kupoteza gharama nyingi . Nilitumia njia zile zile za kiasili amekaa sawa..


Uonapo uzi huu ni shukrani zangu za dhati kwako na kwa muda uliokua unajitoa sana kuwa na mimi.. ukinikumbuka jina langu halisi nilikutajia lina herufi nne linaanza na herufi "J " na nina namba zinazoishiwa na 84 na 54 tulizo kua tunawasiliana nazo. nitafute nipate namba yako

Mwenyezi Mungu akubariki sana..

Reference.






 
Asante kuniita bushmamy,
Unataka kusema alitumia ile njia uliyonishauri?

Halafu mleta mada anasahauje ID iliyompa furaha yeye na familia yake.

Alitakiwa kutoa asante japo kidogo.
Hapana sio mie niliyempatia,ila ni vizuri ukacheki nae Kwa box ujue alitumia mbinu Gani ili afanye kolabo na Ile nlokuambia.
Hope mambo yatajpa tu
 
Back
Top Bottom