Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,335
habari wadau
hii shughulika recruitment ni matapeli na wanyonyaji kupita kiasi,nakumbuka niliwahi kuitwa kwenye inteview kwenye ofisi zao nikaenda baada ya interview siku iliyofuata waliniita tena wakaniambia nimepita ila inabidi nionane na client wao(ambae ndo kampuni ilitaka kunichukua) nikaonana na director wa hiyo kampuni nae akanifanyia interview alikua mzungu pia akanikubali na salary tukakubaliana for starting laki nane na nusu ila akaniambia salary inapita mikononi mwa hao shughulika recruitment, mi nikachukulia poa ila kabla sijasaini contract na mzungu ikabidi niwahoji shughulika kwamba salary inapopita mkononi mwao wanakata shilingi ngapi ili nijue mimi nabakiwa na shilingi ngapi? walichonijibu nilijikuta nimechana ile contract katikatoi nikamtupia nikaondoka
eti fifty percent yani nifanye kazi mimi mshahara nigawane nusu kwa nusu na wapiga debe tuu aaah nyambaf sijui hizi recruitment agents zinatupeleka wapi
hii shughulika recruitment ni matapeli na wanyonyaji kupita kiasi,nakumbuka niliwahi kuitwa kwenye inteview kwenye ofisi zao nikaenda baada ya interview siku iliyofuata waliniita tena wakaniambia nimepita ila inabidi nionane na client wao(ambae ndo kampuni ilitaka kunichukua) nikaonana na director wa hiyo kampuni nae akanifanyia interview alikua mzungu pia akanikubali na salary tukakubaliana for starting laki nane na nusu ila akaniambia salary inapita mikononi mwa hao shughulika recruitment, mi nikachukulia poa ila kabla sijasaini contract na mzungu ikabidi niwahoji shughulika kwamba salary inapopita mkononi mwao wanakata shilingi ngapi ili nijue mimi nabakiwa na shilingi ngapi? walichonijibu nilijikuta nimechana ile contract katikatoi nikamtupia nikaondoka
eti fifty percent yani nifanye kazi mimi mshahara nigawane nusu kwa nusu na wapiga debe tuu aaah nyambaf sijui hizi recruitment agents zinatupeleka wapi