Shughulika recruitment ni matapeli

Shughulika recruitment ni matapeli

Hawa jamaa kila siku naona wanatangaza kazi kumbe wanyonyaji kiasi hiki,serikali makini ingeshafungia hizi kampuni za kina yahaya,na pacha mwenzake erolink
 
Tatizo hakuna sheria inayo regulate shughuli za madalali. Wizi wa madalali ni janga la kitaifa, kuanzia kwenye upangaji nyumba, biashara, nk. Mbaya zaidi mapato yao hayana value added tax!
 
Kweli limenigusa na kunishangaza. Huo ni unyonyaji mkubwa. Utaratibu mzuri wa recruitment agency ni kutomcharge Work seeker, kutomkata mshahara wake ila kumfanya awe sawa na wale aliowakuta katika kampuni inayohitaji mfanyakazi. Kwa mfano sisi tunatoa huduma za Recruitment lakini utaratibu wetu ni kutomcharge work seeker bali tunaicharge kampuni.

yani hizi recruitment agents nimezikatia tamaa and i don trust them completely maana most of them ni wanyonyaji na ni waonevu,waongo,wameweka maslahi mbele na si kuwasaidia job seekers
 
Yule mkenya Catherine mwenye hio shughulika hana maana kabisaaaa! Yaani kabisaa kabisaaa! Alinitafutiaga kazi, nikaenda uzuri tu, eti mshahara Laki mbili na nusu na kadegree changu afu kazi ya ngumu! Thubutu yakeee! Nikamwambia SIFANYI!!!!!!!!!!!! ALINUNA HUYO!

tena yule caherini ndo mwizi mkubwa ingekua uwezo wangu ningeenda kumtoa pale na greda nimrudishe kijijini kwao nakuru,hiyo laki mbili ni kwamba yeye kachukua robo tatu halafu robo uchukue wewe
 
Kweli limenigusa na kunishangaza. Huo ni unyonyaji mkubwa. Utaratibu mzuri wa recruitment agency ni kutomcharge Work seeker, kutomkata mshahara wake ila kumfanya awe sawa na wale aliowakuta katika kampuni inayohitaji mfanyakazi. Kwa mfano sisi tunatoa huduma za Recruitment lakini utaratibu wetu ni kutomcharge work seeker bali tunaicharge kampuni.

weka rucruitment yako hapa watu waijue ili waaply
 
Poleni sana kwa utapeli huu. Hata hao employers wanaowatumia hawa Shughulika ni bogus. Kama kweli wako makini hawawezi kuentertain ujinga huu
 
Hivi na hawa AK COMPANY vipi kwa anae jua
 
Tatizo hakuna sheria inayo regulate shughuli za madalali. Wizi wa madalali ni janga la kitaifa, kuanzia kwenye upangaji nyumba, biashara, nk. Mbaya zaidi mapato yao hayana value added tax!

Hivi ni kwanini hakuna sheria za kuwadhibiti madalali juu ya mapato yao? serikali haioni inapoteza kodi nyingi bure tu? SERIKALI AMKENI.
 
Kweli limenigusa na kunishangaza. Huo ni unyonyaji mkubwa. Utaratibu mzuri wa recruitment agency ni kutomcharge Work seeker, kutomkata mshahara wake ila kumfanya awe sawa na wale aliowakuta katika kampuni inayohitaji mfanyakazi. Kwa mfano sisi tunatoa huduma za Recruitment lakini utaratibu wetu ni kutomcharge work seeker bali tunaicharge kampuni.

Mkuu hii yenu inaitwaje maana yamekuwa majanga tuwasaidie wadogo zetu.
 
Yule mkenya Catherine mwenye hio shughulika hana maana kabisaaaa! Yaani kabisaa kabisaaa! Alinitafutiaga kazi, nikaenda uzuri tu, eti mshahara Laki mbili na nusu na kadegree changu afu kazi ya ngumu! Thubutu yakeee! Nikamwambia SIFANYI!!!!!!!!!!!! ALINUNA HUYO!
ahahaaaa hapo bado hamjagawana? au baada ya mgao?
 
Dadavueni wakuu yaani recruitment agent anaaminiwa na client kuliko mfanyakazi atakayeenda kufanya kule
 
habari wadau
hii shughulika recruitment ni matapeli na wanyonyaji kupita kiasi,nakumbuka niliwahi kuitwa kwenye inteview kwenye ofisi zao nikaenda baada ya interview siku iliyofuata waliniita tena wakaniambia nimepita ila inabidi nionane na client wao(ambae ndo kampuni ilitaka kunichukua) nikaonana na director wa hiyo kampuni nae akanifanyia interview alikua mzungu pia akanikubali na salary tukakubaliana for starting laki nane na nusu ila akaniambia salary inapita mikononi mwa hao shughulika recruitment, mi nikachukulia poa ila kabla sijasaini contract na mzungu ikabidi niwahoji shughulika kwamba salary inapopita mkononi mwao wanakata shilingi ngapi ili nijue mimi nabakiwa na shilingi ngapi? walichonijibu nilijikuta nimechana ile contract katikatoi nikamtupia nikaondoka

eti fifty percent yani nifanye kazi mimi mshahara nigawane nusu kwa nusu na wapiga debe tuu aaah nyambaf sijui hizi recruitment agents zinatupeleka wapi
Hahaaaa ulifikiri wafukia makaburi mpwa
 
Back
Top Bottom