Shs Billion 10.7 (Usd 4.7 million) imetumika kupigania kesi ya TANESCO vs Standard Chartered Bank (Hong Kong) Limited

Daah kwa hiyo msela mlio kua mnakula nae RB pale mlimani leo hii ndio anapiga haya mapesa!!

Crax Law Partners in association with RK Rweyongeza and Co. Advocates: Shs 227.6 million
Yes msela wangu ndio Crax jamaa mwenyewe yuko simple, low profile, humble
and down to earth, very soon kwa wale mnaonijua, mtaniona navuta Range Sport, msinidhanie ni fisadi kwasababu fungu la sisi ma pen pushers haliruhusu kuweka Range Sport barabarani, bali siku nilipomtembelea jamaa home kwake, kule nyuma kwenye junk backyard yake, nikaikuta Range Sport imetelekezwa, akaniruhusu kwenda kui pick anytime, tatizo ni mimi tuu ndio sijawa tayari, from boda boda to Range Sport ni too big leap, after all hapa kwa Mtogole nilikopanga upande mzima, hakuna access ya gari kuingia, kulaza Range Sport CCM haipendezi, Nimetafuta nyumba za kupanga upande mzima zenye gate na car park, hakuna, zote wanapangisha nyumba nzima, na nyingine ni apartments, sisi waandishi na apartments, wapi na wapi?.
Hivyo Range Sport yangu ipo tuu inasubiri nyumba yenye parking, nikaichukue.
P
 
Kwa nini waliosababisha hasara hii wasikamatwe?. Nadhani hii ni kesi inayohusu Escrow Account. Mhe. Rais anapopiga kelele kuwa tumeibiwa sana wengi tunamchukia. Utawala wa awamu ya tano imeiokoa Tanzania kwa kiasi kikubwa sana.
Alipiga makofi na kugonga meza leo anaona ni wezi na alisapoti wizi huu kwa makofi
 
Aisee. Ni kwa vile tu siku hizi magazeti au TV wakiujulisha uma kinachoendelea haipiti masaa wamefungiwa. HII AWAMU INA MADUDU YA HATARI SANA.

Hata hivyo tutalipa. Pesa ipo.
Unajua sakata la escrow lilikuwa awamu ya ngapi ya uongozi. Magufuli amekuta hii nchi imeoza na ina madeni makubwa sana, ona sasa uzembe wa awamu ya nne mzigo anabebeshwa yeye.
 
Duh...
Hii kitu ya kuendekeza ku practice what you love and makes you happy yanaanza kunitokea puani, mimi mwenzenu nimesoma sheria, LL.B na kusoma Journalism, nika opt kuwa mwandishi for the love of it, doing what you love most, mshikaji wangu, school mate, class mate na room mate amechagua sheria, ndie mwenye Crax Law Patners!.

Sasa ndio nime realize hizi noble professionals kama ualimu, uandishi wa habari kuelimisha jamii hazina mpango, mpango mzima ni kuwasaidia watu wapate haki zao na sio kuwahabarisha na kuwaelimisha.
P
Hujachelewa, karibu nyumbani huku kwa bibi unasakafia juu unatoboa tundu chini unaweka mrija unaanza kunyonya.
Watu wakiangalia juu kuzuri, huko ndani makorokocho. Wao wanaita shamba la bibi mlinzi ni mmoja naye hana mafunzo ya ulinzi, mnamuita JPM, yeye hufuata mifupa mpaka mlangoni kwako, hata kama waliokula waliisha hama, utawaleta wewe, mshikwa na ngozi.
 
Yes msela wangu ndio Crax jamaa mwenyewe yuko simple, low profile, humble
and down to earth, very soon kwa wale mnaonijua, mtaniona navuta Range Sport, msinidhanie ni fisadi kwasababu fungu la sisi ma pen pushers haliruhusu kuweka Range Sport barabarani, bali siku nilipomtembelea jamaa home kwake, kule nyuma kwenye junk backyard yake, nikaikuta Range Sport imetelekezwa, akaniruhusu kwenda kui pick anytime, tatizo ni mimi tuu ndio sijawa tayari, from boda boda to Range Sport ni too big leap, after all hapa kwa Mtogole nilikopanga upande mzima, hakuna access ya gari kuingia, kulaza Range Sport CCM haipendezi, Nimetafuta nyumba za kupanga upande mzima zenye gate na car park, hakuna, zote wanapangisha nyumba nzima, na nyingine ni apartments, sisi waandishi na apartments, wapi na wapi?.
Hivyo Range Sport yangu ipo tuu inasubiri nyumba yenye parking, nikaichukue.
P

Soon unaenda kuwa rafiki yake KIDUKURILO kwa kumiliki gari na sio toyota..
 
Inasikitisha sana...

Wamesubiri tushajaza jungu kuu kwa pesa za wahujumu uchumi, wanataka kuzichota sasa...

Mabeberu siyo watu kabisa...


Cc: mahondaw
 
Naona hujazungumzia namna vile fedha za wananchi zilivyoliwa na nyingine inabidi tulipe yaan
Duh...
Hii kitu ya kuendekeza ku practice what you love and makes you happy yanaanza kunitokea puani, mimi mwenzenu nimesoma sheria, LL.B na kusoma Journalism, nika opt kuwa mwandishi for the love of it, doing what you love most, mshikaji wangu, school mate, class mate na room mate amechagua sheria, ndie mwenye Crax Law Patners!.

Sasa ndio nime realize hizi noble professionals kama ualimu, uandishi wa habari kuelimisha jamii hazina mpango, mpango mzima ni kuwasaidia watu wapate haki zao na sio kuwahabarisha na kuwaelimisha.
P
 
Hasara hii nchi sijui zitaisha lini bahati mbaya machinga, mama ntilie wanaimba nyimbo za ccm na kipato chao cha buku watachangia pia gharama izi indrect kwa either kununua bidhaa au direct kwa kupandishiwa bei ya umeme.

elimu elimu elimu ccm ingekuaga ishang'oka muda kwa kulifilisi taifa.
Halafu genge lilotufikisha hapa chadema wakalipa kugombea urais hovyo kabisa blalifull crokodio Madona pompoo
 
Yes msela wangu ndio Crax jamaa mwenyewe yuko simple, low profile, humble
and down to earth, very soon kwa wale mnaonijua, mtaniona navuta Range Sport, msinidhanie ni fisadi kwasababu fungu la sisi ma pen pushers haliruhusu kuweka Range Sport barabarani, bali siku nilipomtembelea jamaa home kwake, kule nyuma kwenye junk backyard yake, nikaikuta Range Sport imetelekezwa, akaniruhusu kwenda kui pick anytime, tatizo ni mimi tuu ndio sijawa tayari, from boda boda to Range Sport ni too big leap, after all hapa kwa Mtogole nilikopanga upande mzima, hakuna access ya gari kuingia, kulaza Range Sport CCM haipendezi, Nimetafuta nyumba za kupanga upande mzima zenye gate na car park, hakuna, zote wanapangisha nyumba nzima, na nyingine ni apartments, sisi waandishi na apartments, wapi na wapi?.
Hivyo Range Sport yangu ipo tuu inasubiri nyumba yenye parking, nikaichukue.
P
🤣Ulinamakoye mayalla bhageshi wane
 
Wanajukwaa,

Nimepitia mchanganuo wa kiasi cha fedha zilizoteketea kwenye hii vita kati ya TANESCO na Standard Chartered Bank (Hong Kong) Limited. Inasikitisha sana sana fedha za watanzania wanyonge na wazalendo zikitekea kiasi hichi! Halafu mwisho wa siku tumeshindwa kesi na tunadaiwa kiasi cha Shs Billion 423.4 (Usd 185.4 million).

Walionufaika ni hawa:

Curtis, Mallet-Prevost, Colt & Mosle LLP: Shs 10.1 billion (Usd 4.4 million). Website yao hii hapa (https://www.curtis.com/). Wapo London hawa sidhani hela zetu zinarudi tena. Kati ya hii, Usd 4 million ni legal fees na Usd 429,877 ni expenses.

Crax Law Partners in association with RK Rweyongeza and Co. Advocates: Shs 227.6 million (Usd 99.7 thousand). Website hii hapa (https://crax.co.tz/about/). Wapo bongo hawa. Hii yote ni expenses peke yake. Hatujaweka legal fees hapa. Inawezekana hatutaki kuaibika kwa sababu mara ya mwisho, hawa wanasheria walitupiga Shs 7.7 billion (Usd 3.5 million) kama legal fees. Soma hapa (https://www.ippmedia.com/en/news/how-tanesco-squandered-30-billion-legal-fees).

International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICISD): Shs 399.5 million (Usd 175,000). Hii ndio hela ya kuwalipa mahakimu wa ICISD kutupiga nyundo ya kichwa!

Kwa nini hatukutumia lawyers kutoka Attorney's General (AG) Offices? Au kutumia wasomi wetu nguli wa Sheria kutoka UDSM, Law School n.k.?

Mweee wanasheria wa UDSM wale kina Prof mparamiaji magamba kabugi aka mtoa mimacho???? Astaghafulullah
 
Unajua sakata la escrow lilikuwa awamu ya ngapi ya uongozi. Magufuli amekuta hii nchi imeoza na ina madeni makubwa sana, ona sasa uzembe wa awamu ya nne mzigo anabebeshwa yeye.

Umeongea as if Maguguli hakua sehemu ya system za serikali zilizopita.
 
Mkuu mleta mada hizo zote ni gharama za kesi na inawezekana tumeshazilipa au tunaendelea kulipa ( mfano nauli,malazi,ada na etc) tangia kesi imefungliwa September 2018 mpaka mwisho wake na anayeidai serikali kwa sasa ukiondoa hizo gharama ni huyo aliyeshinda Standard Chartered Bank (Hong Kong) Limited ambaye tunatakiwa kumlipa pamoja na hizo gharama za kesi kiasi cha USD 185,449,440.04 pamoja na riba ya (6-mwezi) + 2% kutoka 1 Septemba 2018 hadi tarehe ya kumaliza kulipa malipo ya mwisho.
Na kama tungeshinda sisi pia alitakiwa kutulipa gharama za hiyo kesi kwa mujibu wa sheria.Kwa hiyo hao unaosema wamenufaika siyo kweli bali walikuwa kazini na ni matumizi ya ujumla ya kesi na ndiyo malipo yao ambayo pia yamekubaliwa kisheria kulingana na hiyo hukumu.

Huwezi kushitakiwa then usiweke mtetezi wako (mwanasheria), kwa hiyo hao wote walikuwepo pamoja na AG

Inabidi kuwa makini sana na mambo ya uvunjivu wa sheria pindi tukishaingia kwenye mikataba hasa hii ya kimataifa maana unaweza ukaifanya nchi yako kuwa masikini bila kujua
 
Back
Top Bottom