Showroom zinazokopesha magari

Showroom zinazokopesha magari

Queen matty

Member
Joined
May 14, 2016
Posts
84
Reaction score
89
Habari wadau kama unajua Showroom ambayo naweza kuchukua gari na nikailipia kidogo kidogo kwa muda wa mwaka mmoja au miwili naomba mnijuze jamani...maana nahitaji gari ila sina pesa timilifu.
 
Sipendi vya kupewa mkuu...nina uwezo wa kupata vyangu mwenyewe.
IST hata ukinipa bure sichukui.
 
Habari wadau kama unajua Showroom ambayo naweza kuchukua gari na nikailipia kidogo kidogo kwa muda wa mwaka mmoja au miwili naomba mnijuze jamani...maana nahitaji gari ila sina pesa timilifu.
Mkuu nakucheki inbox tuzungumze. Kuna showroom wanakopesha magari ila walau uwe na nusu(50%) ya gharama ya gari unayotaka.
 
Mkuu nakucheki inbox tuzungumze. Kuna showroom wanakopesha magari ila walau uwe na nusu(50%) ya gharama ya gari unayotaka.

Nyinyi ndo matapeli..
Kama wanafahamika why usiwataje hapa kila mtu anaetaka aende?
Akufatae inbox ukamtapeli?

Ogopeni Sana watu hawa
 
Nyinyi ndo matapeli..
Kama wanafahamika why usiwataje hapa kila mtu anaetaka aende?
Akufatae inbox ukamtapeli?

Ogopeni Sana watu hawa
Hahaa mkuu bahati mbaya unajudge mambo kwa jumla jumla. Sitapokea hela yake mpka aje ofisini kuchagua gari na tuongee bei na terms za payments.

Ni mazingira ya jf ndio yanafanya tuwe unknown na ID zetu. By the way hongera kwa kumpa tahadhari.
 
Hahaa mkuu bahati mbaya unajudge mambo kwa jumla jumla. Sitapokea hela yake mpka aje ofisini kuchagua gari na tuongee bei na terms za payments.

Ni mazingira ya jf ndio yanafanya tuwe unknown na ID zetu. By the way hongera kwa kumpa tahadhari.
Weka contacts Hapa, wahitaji wanaweza kuwa wengi,
 
Back
Top Bottom