Show ya times fm kiboko !!!!

Kwame Nkrumah

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2008
Posts
886
Reaction score
376
Naipenda sana show ya akina Masanja na Nyerere ya 2 by 2 NA IKIBIDI NOMA IWE NOMA. Show nzuri sana, jamaa wana kipaji na wana chemistry nzuri sana. I hope wanalipwa vizuri na kufaidi jasho lao. Kuna marekebisho kidogo ya hapa na pale lakini show ni kiboko, nawapa 98%. bye bye WAFU FM.
 
Kipindi kinaanza saa ngapi? Na kipindi chao kinazungumzia nini? Tujulishe tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…