Jamani,nimesikia tetesi zimezagaa huku uswahilini kwetu kwamba kiasi cha hela alicholipwa Rick Ross ni milion 460 wakati wasanii wetu wa bongo walioshiriki kwenye show hiyo ya Fiesta walilipwa kiasi cha laki 7 kila mmoja.
Hii ni sawa kweli wadau? Wenye details tunaomba mtujuze!
Hii ni sawa kweli wadau? Wenye details tunaomba mtujuze!