Josephat Peter ,thats a brilliant idea,ila ingependeza zaidi watu wakijua taarifa za anayefundisha hizo courses,ni mwalimu wa UDOM,mwanafunzi wa UDOM au ni random person anatumia ukumbi wa UDOM?*je huyu muelimishaji ana kiwango gani cha elimu?*je vyeti vitakavyotolewa,vitatolewa vikiwa na seal ya UDOM,signed by who?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.