Shona suti kwa bei nafuu mno

Shona suti kwa bei nafuu mno

Hiyo Bei kubwa sana mkuu
Hapana mkuu hatushoni kwa bei hYo, Tunashona suti kuanzia Tsh. 85000... Ktambaa bora kabsa.... Na knakuwa juu ya fundi.... Wew ukiwa kama mteja unakuja kuchkua nguo tu... Baada ya makubaliano... Huchkua sku7 na haizidi juu ya hapo....
Karibu sana Mkuu[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]
 
Hapana mkuu hatushoni kwa bei hYo, Tunashona suti kuanzia Tsh. 85000... Ktambaa bora kabsa.... Na knakuwa juu ya fundi.... Wew ukiwa kama mteja unakuja kuchkua nguo tu... Baada ya makubaliano... Huchkua sku7 na haizidi juu ya hapo....
Karibu sana Mkuu[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]
Umenasa kwenye mtego wa jamaa [emoji2][emoji2][emoji2]. Ulijifanya hutaji bei
 
Umenasa kwenye mtego wa jamaa [emoji2][emoji2][emoji2]. Ulijifanya hutaji bei
Hapana bei zpo waz mkuu.... Mwanzo nliandka bei... Katka kuedt uzi kwaajir ya kuongeza baadhi ya vtu, nkajkuta nmeshndwa kusave previous details.... Nkaona shda kuandka Tena.... Ila kwa wataohtaj bei na maaluzo ya vtu vngne ndo maana nkaandka no. za smu mkuu....
Karbu sana[emoji3578][emoji3578]
 
Hapana mkuu hatushoni kwa bei hYo, Tunashona suti kuanzia Tsh. 85000... Ktambaa bora kabsa.... Na knakuwa juu ya fundi.... Wew ukiwa kama mteja unakuja kuchkua nguo tu... Baada ya makubaliano... Huchkua sku7 na haizidi juu ya hapo....
Karibu sana Mkuu[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]
Anhaa,
Hapa sasa umeongea. So nikija na 85,000/- kitambaa kwangu au kwako?
 
Bei Ni reasonable. Inakua vipande viwili au vitatu?
Well...... Gud Question... Ila cjajua ulilenga nn unavyosema bei ni resonable na general meaning Ya vpande vtatu.... Il nkupe jbu sahh... Si unajua maana ya maana ni maana terezi mkuu?

Karbu tafadhari[emoji3578][emoji3578]
 
Bei Ni reasonable. Inakua vipande viwili au vitatu?
Well...... Gud Question... Ila cjajua ulilenga nn unavyosema bei ni resonable na general meaning Ya vpande vtatu.... Il nkupe jbu sahh... Si unajua maana ya maana ni maana terezi mkuu?

Karbu tafadhari[emoji3578][emoji3578]
 
#1. Je inachukua muda wa siku ngapi kwa mteja kukabidhiwa suti kama hii toka siku aliyolipia?

#2. Najua bei hutegemea aina ya kitambaa, Je unaweza kutuweka japo range ya bei minimum kuanzia ngapi hadi TZS ngapi? , Ili mteja anapokuja awe na idea ya bei tarajali.

#3. Iwapo nitakuletea kitenge ili nishonewe shati la mikono mirefu, mtu mkubwa, bei ya mashono pekee ni kiasi gani? na inachukua siku ngapi?

Ahsante.
Namba tatu achana nayo mzee
 
Well...... Gud Question... Ila cjajua ulilenga nn unavyosema bei ni resonable na general meaning Ya vpande vtatu.... Il nkupe jbu sahh... Si unajua maana ya maana ni maana terezi mkuu?

Karbu tafadhari[emoji3578][emoji3578]
Bei reasonable maana yake sio kubwa Sana, yaan ni bei ya kawaida na wengi wataimudu.

Suti vipande vitatu ni ile ambayo juu ukitoa lile koti kunakua na Kama kizibao au kikoti kidogo kisicho na mikono.

Yaani kuna koti la nje, kikoti cha ndani na suruali.
images (1).jpeg
 
Hapana mkuu hatushoni kwa bei hYo, Tunashona suti kuanzia Tsh. 85000... Ktambaa bora kabsa.... Na knakuwa juu ya fundi.... Wew ukiwa kama mteja unakuja kuchkua nguo tu... Baada ya makubaliano... Huchkua sku7 na haizidi juu ya hapo....
Karibu sana Mkuu[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]

Nikileta kitambaa changu utashona kwa Tsh ngapi suti?
...je kaunda suti ukitumia kitambaa chako ni bei gani na pia nikileta kitambaa changu ni bei gani?
Naomba ujibu hapa tafadhali, nikija pm nakupa tu order bhaas bila longolongo!
 
Je ni material gani mnatumia kama sticker ya sehemu ya ndani ya kiuno cha suruali?

Mnashona bell bottom trousers pia?
 
Bei reasonable maana yake sio kubwa Sana, yaan ni bei ya kawaida na wengi wataimudu.

Suti vipande vitatu ni ile ambayo juu ukitoa lile koti kunakua na Kama kizibao au kikoti kidogo kisicho na mikono.

Yaani kuna koti la nje, kikoti cha ndani na suruali.View attachment 1568196
Well... i catch You mkuu....
Kwa bei Ya 85000 kla ktu kmebance mkuu... Ktambaa utapata Quality kwa mshono wwte ule wa suti.... Ktambaa n nuu ya fundi baada ya makubliano ya utahtaj ktambaa aina gan.... Na kuhusu hyo aina Ya suti unayohtaj pia ipo ndani Ya uwezo wetu.... Kwa CHIKAWE kinachoshndkana ni kugeuza usku tu kiwa mchana.... Ila kwenYe ushonaj na kudesign nguo.... Hatujawah Kutoa sale....

Karbu sana mkuu[emoji3578][emoji3578]
 
Hapana mkuu hatushoni kwa bei hYo, Tunashona suti kuanzia Tsh. 85000... Ktambaa bora kabsa.... Na knakuwa juu ya fundi.... Wew ukiwa kama mteja unakuja kuchkua nguo tu... Baada ya makubaliano... Huchkua sku7 na haizidi juu ya hapo....
Karibu sana Mkuu[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]
Hapa sasa nimeanza kukuelewa, na kwa watoto bei zinaanzia kwenye ngapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je ni material gani mnatumia kama sticker ya sehemu ya ndani ya kiuno cha suruali?

Mnashona bell bottom trousers pia?
Tunatmia Digital belts.... Znazoendana na rangi ya suruali......na kuhusu Bell bottom trousers(Vijana huita suruali za Jeje) pia Tunashona mkuu....

Karbu sana kwa CHIKAWE TAILORING MART.... hakka hautajutia uamuzi wako[emoji3578][emoji3578][emoji3578]
 
Je ni material gani mnatumia kama sticker ya sehemu ya ndani ya kiuno cha suruali?

Mnashona bell bottom trousers pia?
Tunatmia Digital belts.... Znazoendana na rangi ya suruali......na kuhusu Bell bottom trousers(Vijana huita suruali za Jeje) pia Tunashona mkuu....

Karbu sana kwa CHIKAWE TAILORING MART.... hakka hautajutia uamuzi wako[emoji3578][emoji3578][emoji3578]
 
Back
Top Bottom