Shona suti kwa bei nafuu mno

Shona suti kwa bei nafuu mno

1. Ukitaka kishona suti kitambaa kama kitakuwa chako ghalama Yake n Tsh. 85000 Tu.

2. Ukitaka kushona kaunda suti kitambaa kikiwa chakwako ni Tsh. 30000.... Kikiwa chakwangu ni Tsh.65000 Tu.

3.Ukitaka Kushona suti kitambaa kikiwa Cha kwako ni Tsh. 50000 Tu.

Karibu sana mkuu[emoji3578][emoji3578][emoji3578]
No 1 na 3 hujaeleweka mkuu. sahihisha kidogo.
 
No 1 na 3 hujaeleweka mkuu. sahihisha kidogo.
1.Ukitaka kushona suti kitambaa kama kitakuwa changu ghalama Yake n Tsh. 85000 Tu.

2. Ukitaka kushona kaunda suti kitambaa kikiwa chakwako ni Tsh. 30000.... Kikiwa chakwangu ni Tsh.65000 Tu.

3.Ukitaka Kushona suti kitambaa kikiwa Cha kwako ni Tsh. 50000 Tu.


#Nashukuru sana kwa kunisahhsha mkuu... N makosa ya kiuandsh kidgo..... Bla shaka nmeweka UPDATE HAPO JUU.

Karbu sana[emoji3578][emoji3578]
 
1.Ukitaka kushona suti kitambaa kama kitakuwa changu ghalama Yake n Tsh. 85000 Tu.

2. Ukitaka kushona kaunda suti kitambaa kikiwa chakwako ni Tsh. 30000.... Kikiwa chakwangu ni Tsh.65000 Tu.

3.Ukitaka Kushona suti kitambaa kikiwa Cha kwako ni Tsh. 50000 Tu.


#Nashukuru sana kwa kunisahhsha mkuu... N makosa ya kiuandsh kidgo..... Bla shaka nmeweka UPDATE HAPO JUU.

Karbu sana[emoji3578][emoji3578]

Umejibu vyema...
 
Hizo bei zake ni kiasi gani?
Weka mchanganuo pia endapo utatumia material yako ama mteja atakuletea!
1.Ukitaka kushona suti kitambaa kama kitakuwa changu ghalama Yake n Tsh. 85000 Tu.

2. Ukitaka kushona kaunda suti kitambaa kikiwa chakwako ni Tsh. 30000.... Kikiwa chakwangu ni Tsh.65000 Tu.

3.Ukitaka Kushona suti kitambaa kikiwa Cha kwako ni Tsh. 50000 Tu.
 
Jbu la swal lako lpo kwenye namba 2. Mkuu...
Karbu sana[emoji3578][emoji3578]
 
Kama hii bei gani??
images%20(10).jpg
 
Back
Top Bottom