Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,032
- 759
- Thread starter
- #21
Matangazo yana aina nyingi za kuwasilishwa kwa walengwa, BTW huwa unatembelea jukwaa la Biashara?
Si useme unatangaza biashara mkuu! Tunazijua namba za mawasiliano za wahusika wa chadema, hasa wanaohusika na inventory control. Wewe nani?
Hivi mlalahoi anapoamua kutumia nguvu na muda wake kupata mkate wake wa kila siku na wakati huohuo kukitangaza chama kama hivi alivyofanya ni makosa. Kwa taarifa tu nimejitolea kumsaidia na nimenunua scarf nne kwake.
Hivi mlalahoi anapoamua kutumia nguvu na muda wake kupata mkate wake wa kila siku na wakati huohuo kukitangaza chama kama hivi alivyofanya ni makosa. Kwa taarifa tu nimejitolea kumsaidia na nimenunua scarf nne kwake.
umeeleweka sasa mkuu. Unakitangaza chama, na huku unatangaza biashara yako big up meeen!!
Kumbe lengo ni kurudi humo humo maskani mwenu? sasa huku kwingine mtaanza lini na kwa style gani? maana scarf ni za maskani kwenu. Siku zote mnaambiwa jitahidini mjulikane nchi nzima hamtaki.
Yale yale ya kanga, vitenge na kofia
hizo scarf zinauzwa na bei umetajiwa hapo,sasa sijui ni kwa nini utufananishe na m.a.g.a.mba wanaohonga au kugawa bure.