UJAMAA hauwezi kufanya kazi zama hizi za wezi na wala rushwa wasiojali lolote kuhusu wengine.
Huo Ushirika bado utawanufaisha wezi na wala rushwa wachache.
Vijana mjifunze KUJITEGEMEA, achaneni na mawazo ya makundi makundi.
Be a Man, Kijana chagua Ujuzi(Skill) wowote kisha jifunze then ingia kwenye race za kutafuta Maisha.