Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Wiki kama mbili zilizopita nimemtumia mtu wangu vitu viwili nilivyovifunga katika mfuko. Kwa njia ya register nikavituma mkoa mmoja hapa Tanzania kutokea hapa Dar.
Cha kushangaza aliyepokea hakupata kimojawapo. Why? Na wakati vyote vilikua vimefungwa kwenye mfuko mmoja.
Wafanyakazi wa posta munalididimiza shirika hilo bila kujua. Uaminifu ni kitu kizuri sana. No wonder shirika hali-perfom.
Kwa wizi huo na wa aina nyingine siku shirika likifungwa nyie na familia zenu mtakua hamna pa kwenda au itawachukua muda kupata kwa kwenda. Sidhani kama mimi victim nitawaonea huruma.
Jirekebisheni
Cha kushangaza aliyepokea hakupata kimojawapo. Why? Na wakati vyote vilikua vimefungwa kwenye mfuko mmoja.
Wafanyakazi wa posta munalididimiza shirika hilo bila kujua. Uaminifu ni kitu kizuri sana. No wonder shirika hali-perfom.
Kwa wizi huo na wa aina nyingine siku shirika likifungwa nyie na familia zenu mtakua hamna pa kwenda au itawachukua muda kupata kwa kwenda. Sidhani kama mimi victim nitawaonea huruma.
Jirekebisheni