MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,650
- 48,415
- Thread starter
- #21
Mkuu samahani!
Hivi hapo ulipo kweli kichwa umetembea nacho?au umeacha kabatini?how unazungumzia nuclear bombs kama unazungumzia kiporo cha wali maharage?
Nimecheka sana yaani, hawa timu Putin wa kwa Mpalange sijui wamejawa mahaba kama misukule vile.
Unakuta mtu anashangaa kwanini Putin amechelewa kutumia nyuklia kukamilisha shughuli dhidi ya Ukraine.