Very sad..😥Vijana wengi ss hv wanaongelea sana suala la kujiua.....
Huwa wanawafanya nini watu?Machine ya nin we panda boda boda wa keko watamaliza kila kitu
Lengo la hayo maswali ni lipi au wahahofia anaweza kuingia Mtu kwa bahati mbaya au mlevi?Wewe ni nani?, ‘Uko wapi?
Daah... Kanaonekana kanaua vizuri hadi raha.Shirika la Exit International la Marekani limezindua mashine maalumu la kujiua iitwalo ‘Sarco Pod’ ambayo inafanya mtumiaji afurahi na kuchanganyikiwa kwa wakati mmoja kabla ya kuaga Dunia, pia mashine hiyo haisababishi maumivu wakati mtumiaji anapotaka kujiua.
Kabla ya kujiua mashine hiyo itakuuliza maswali matatu ambayo ni 'Wewe ni nani?, ‘Uko wapi?, na Je unajua kitakachotokea ukibonyeza kitufe? baada ya kuyajibu atabonyeza kitufe kilichopo ndani ya sanduku na atajiua.