Bananga Wa Kisangi
New Member
- Oct 3, 2016
- 1
- 0
Yaani una maanisha taratibu za kisheria na mahakama zisifuatwe!, na nani awakate hivyo vichwa sasa?Kama wameshakiri upelelezi wa nini tena? Kata vichwa vyao shughuli iishe
Yaani una maanisha taratibu za kisheria na mahakama zisifuatwe!, na nani awakate hivyo vichwa sasa?Kama wameshakiri upelelezi wa nini tena? Kata vichwa vyao shughuli iishe
MmhMh hawa wasukuma...
Au ndio maana............????
Hapo ndo utashangaa hupati jibu na wauaji watahukumiwa bila aliyewatuma naye kuhukumiwa !Aliyewatuma?
Hapo ndo utashangaa hupati jibu na wauaji watahukumiwa bila aliyewatuma naye kuhukumiwa !Aliyewatuma?
Inaonekana una data nzuri na huko mauaji ya kukodi yameshamiri sana !Nona gharama za kuua mtu Shinyanga zimepanda, kutoka kwenye depe la chimpumu, magunia ya mpunga hadi milioni mbili! Wanyantuzu wanapenda kukodiwa kuua!