Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Habari zilizotufikia hivi punde katika chumba cha habari cha Malunde1 blog ni kwamba mtoto wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa mwaka mmoja amefariki dunia papo hapo baada ya kukanyagwa na gari wakati dereva akirudisha gari lake nyuma bila kuchukua tahadhari.
Tukio hilo limetokea Muda wa usiku kwao na mtoto huyo katika mtaa wa Mabambasi kata ya Ndembezi katika manispaa ya Shinyanga.
Kwa Mujibu wa mwenyekiti wa mtaa huo na kata hiyo,David Nkulila amesema mtoto huyo amekanyagwa na gari hilo linalodaiwa kuwa ni la serikali nyumbani kwao.
Tukio hilo limetokea Muda wa usiku kwao na mtoto huyo katika mtaa wa Mabambasi kata ya Ndembezi katika manispaa ya Shinyanga.
Kwa Mujibu wa mwenyekiti wa mtaa huo na kata hiyo,David Nkulila amesema mtoto huyo amekanyagwa na gari hilo linalodaiwa kuwa ni la serikali nyumbani kwao.