Shimoni alipopataja Makonda ndio wapi?

Nicholaus Kilunga

JF-Expert Member
Feb 15, 2014
1,188
567
Wadau amani kwenu,katika dhana ileile ya uwazi na uwajibikaji naomba kuhoji,katika hotuba yake mkuu wa mkoa wa Daress salam Paul Makonda leo hii wakati akizungumzia suala la madawa ya kulevya na madhara yake awamu ya 3,alitaja maneno yafuatayo

"Ukitaka kuwavusha watu ng'ambo ya pili usishauriane nao njia ya kupita,
Usilete mbembwe kwenye utawala huu,na mimi umri wangu unaruhusu kufanya haya,
Sasa wewe jifanye kusema mimi kijana MDOGO,ndo hapo utajua shimoni ni wapi,.
Kila MTU anatafsiri yake kwendana na imani yake na mimi tafsiri yangu ni hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe.

Kuna waliojiandaa juu ya matusi mimi kwa upande yangu hayanibabaishi,
Nikijiridhisha wewe ni hatari kwenye mkoa wangu,unaweza ukaondoka na kuacha ndala tu.

Hawa nitakao wataja hapa leo kuna joto kidogo.

Sasa naomba kujuzwa Shimoni ni wapi?nini?je hiyo shimoni ipo Tz?na kama ni Tz ipo sehemu gani?

Je, inahusiana vipi na maneno ya Makonda maana kwa kauli yake Shimoni inaonekana kama sehemu maalum kwa kazi maalumu,ama alikuwa anaizunguzia Shimoni ile ya Mombasa nchini Kenya ambapo kuna baadhi ya raia wa Tz kutoka visiwani walikimbilia kule baada ya machafuko?2001je alikusudia kupataja ama neno hilo lilimponyoka?.

Kwakutambua Jf wapo watu wa aina mbalimbali,kazi mbalimbli na uwezo wa kufikiri mbalimbali,nimeona hapa ni sehemu sahihi ya kujadili hili na kupewa majibu sahihi,karibuni kwa mwenye majibu mujarabu.
 
Mkuu! Hadi sasa nimeshazunguka jiji zima mpaka nimechoka! ..ni kutokana na kauli mungu wa dar aliposema "leo usiku moto utawaka jijini dar" So nilivyosikia vile2 Mimi Kama agent wa Shilawadu nikachukua katecno kangu nikakachaji mapemaa kwa ajili ya picha mubashara.
Cha kushangaza mpaka sasa hivi saa 8 usiku nipo hapa magomeni juu ya paa la jengo la bondeni hotel nikiangaza pande zote bila kuuona moto wenyewe.
 
Mkuu! Hadi sasa nimeshazunguka jiji zima mpaka nimechoka! ..ni kutokana na kauli mungu wa dar aliposema "leo usiku moto utawaka jijini dar" So nilivyosikia vile2 Mimi Kama agent wa Shilawadu nikachukua katecno kangu nikakachaji mapemaa kwa ajili ya picha mubashara.
Cha kushangaza mpaka sasa hivi saa 8 usiku nipo hapa magomeni juu ya paa la jengo la bondeni hotel nikiangaza pande zote bila kuuona moto wenyewe.
8
Mkuu! Hadi sasa nimeshazunguka jiji zima mpaka nimechoka! ..ni kutokana na kauli mungu wa dar aliposema "leo usiku moto utawaka jijini dar" So nilivyosikia vile2 Mimi Kama agent wa Shilawadu nikachukua katecno kangu nikakachaji mapemaa kwa ajili ya picha mubashara.
Cha kushangaza mpaka sasa hivi saa 8 usiku nipo hapa magomeni juu ya paa la jengo la bondeni hotel nikiangaza pande zote bila kuuona moto wenyewe.
Kweli wewe ni firauni!
 
Wadau amani kwenu,katika dhana ileile ya uwazi na uwajibikaji naomba kuhoji,katika hotuba yake mkuu wa mkoa wa Daress salam Paul Makonda leo hii wakati akizungumzia suala la madawa ya kulevya na madhara yake awamu ya 3,alitaja maneno yafuatayo

"Ukitaka kuwavusha watu ng'ambo ya pili usishauriane nao njia ya kupita,
Usilete mbembwe kwenye utawala huu,na mimi umri wangu unaruhusu kufanya haya,

Sasa wewe jifanye kusema mimi kijana MDOGO,ndo hapo utajua shimoni ni wapi,.
Kila MTU anatafsiri yake kwendana na imani yake na mimi tafsiri yangu ni hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe,
Kuna waliojiandaa juu ya matusi mimi kwa upande yangu hayanibabaishi,
Nikijiridhisha wewe ni hatari kwenye mkoa wangu,unaweza ukaondoka na kuacha ndala tu,
Hawa nitakao wataja hapa leo kuna joto kidogo.

Sasa naomba kujuzwa Shimoni ni wapi?nini?je hiyo shimoni ipo Tz?na kama ni Tz ipo sehemu gani? je inahusiana vipi na maneno ya Makonda maana kwa kauli yake Shimoni inaonekana kama sehemu maalum kwa kazi maalumu,ama alikuwa anaizunguzia Shimoni ile ya Mombasa nchini Kenya ambapo kuna baadhi ya raia wa Tz kutoka visiwani walikimbilia kule baada ya machafuko?2001je alikusudia kupataja ama neno hilo lilimponyoka?.

Kwakutambua Jf wapo watu wa aina mbalimbali,kazi mbalimbli na uwezo wa kufikiri mbalimbali,nimeona hapa ni sehemu sahihi ya kujadili hili na kupewa majibu sahihi,karibuni kwa mwenye majibu mujarabu.
Huko shimoni ni sero ya Central ambako kunafahamika kwa namna watuhumiwa mbalimbali wanavyofanyiwa 'torturing' wakati wakihojiwa ili waweze kukiri makosa wanayotuhumiwa nayo, hata kama hawakuyafanya!

Sasa kwa kuwa RC wetu Makonda amekiri hadharani kuwa hiyo sehemu ya shimoni huwa inafanya hivyo vitu vya 'torturing' ambapo ni kinyume cha Katiba yetu inayosema mtu hawezi kuhesabika mhalifu hadi pale Mahakama itakapothibitisha hivyo.

Ni vyema sasa vyombo vyote vya haki za binadamu ilivalie njuga suala hili ambalo Makonda amelikiri hadharani kuwa Polisi wake wa Mkoa wake wa Dar wanawatesa watuhumiwa wanapokuwa kwenye sero za Polisi Kabla hawajafikishwa mahakamani, ambapo ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na Katiba ya nchi yetu.
 
Huko Shimoni usiku wake mmoja ni sawa na usiku mia kwanza kuna baridi hatari na kama ujuavyo shati lazima uvuliwe... ndio kasema kuna watu hawakutegemea kufika lakini wamefika...

Hadithi ya Mtego wa Panya inatuhusu wote japo muadithiaji haijui vizuri kama inamuhusu hadi yeye... Ng'ombe lazima achinjwe ni sawa na kukata tawi ulilolikalia
 
Cjui kwa nn makonda anapenda kujificha kwenye dini. Anajiona yy ana dhambi ni mtakatifu cjui, ila naic anamuiga boss wake maana akiongea kidogo tu anaomba kuombewa.
 
Sero ya Central iko underground, wanapaita shimoni, alikuwa anamlenga Mbowe amegoma kujisalimisha akahojiwe.

Asante mkuu,umenitoa tongo tongo za macho maana huku kwetu Kigoma hakuna shimoni,ila jirani zetu wa Burundi mahabusu zao ni zaidi ya shimoni na wanamwaga ile dawa maarufu ya kuua kunguni na chawa inaitwa Pelepele,hatari sana
 
Mkuu! Hadi sasa nimeshazunguka jiji zima mpaka nimechoka! ..ni kutokana na kauli mungu wa dar aliposema "leo usiku moto utawaka jijini dar" So nilivyosikia vile2 Mimi Kama agent wa Shilawadu nikachukua katecno kangu nikakachaji mapemaa kwa ajili ya picha mubashara.
Cha kushangaza mpaka sasa hivi saa 8 usiku nipo hapa magomeni juu ya paa la jengo la bondeni hotel nikiangaza pande zote bila kuuona moto wenyewe.


mkuu kweli we Firauni,*****
 
Huko shimoni ni sero ya Central ambako kunafahamika kwa namna watuhumiwa mbalimbali wanavyofanyiwa 'torturing' wakati wakihojiwa ili waweze kukiri makosa wanayotuhumiwa nayo, hata kama hawakuyafanya!

Sasa kwa kuwa RC wetu Makonda amekiri hadharani kuwa hiyo sehemu ya shimoni huwa inafanya hivyo vitu vya 'torturing' ambapo ni kinyume cha Katiba yetu inayosema mtu hawezi kuhesabika mhalifu hadi pale Mahakama itakapothibitisha hivyo.

Ni vyema sasa vyombo vyote vya haki za binadamu ilivalie njuga suala hili ambalo Makonda amelikiri hadharani kuwa Polisi wake wa Mkoa wake wa Dar wanawatesa watuhumiwa wanapokuwa kwenye sero za Polisi Kabla hawajafikishwa mahakamani, ambapo ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na Katiba ya nchi yetu.


Bahati mbaya tangu awamu hii ianze taasisi za haki za binadamu zimekufa hazina meno,zinaogopa kupelekwa shimoni
 
Wadau amani kwenu,katika dhana ileile ya uwazi na uwajibikaji naomba kuhoji,katika hotuba yake mkuu wa mkoa wa Daress salam Paul Makonda leo hii wakati akizungumzia suala la madawa ya kulevya na madhara yake awamu ya 3,alitaja maneno yafuatayo

"Ukitaka kuwavusha watu ng'ambo ya pili usishauriane nao njia ya kupita,
Usilete mbembwe kwenye utawala huu,na mimi umri wangu unaruhusu kufanya haya,
Sasa wewe jifanye kusema mimi kijana MDOGO,ndo hapo utajua shimoni ni wapi,.
Kila MTU anatafsiri yake kwendana na imani yake na mimi tafsiri yangu ni hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe.

Kuna waliojiandaa juu ya matusi mimi kwa upande yangu hayanibabaishi,
Nikijiridhisha wewe ni hatari kwenye mkoa wangu,unaweza ukaondoka na kuacha ndala tu.

Hawa nitakao wataja hapa leo kuna joto kidogo.

Sasa naomba kujuzwa Shimoni ni wapi?nini?je hiyo shimoni ipo Tz?na kama ni Tz ipo sehemu gani?

Je, inahusiana vipi na maneno ya Makonda maana kwa kauli yake Shimoni inaonekana kama sehemu maalum kwa kazi maalumu,ama alikuwa anaizunguzia Shimoni ile ya Mombasa nchini Kenya ambapo kuna baadhi ya raia wa Tz kutoka visiwani walikimbilia kule baada ya machafuko?2001je alikusudia kupataja ama neno hilo lilimponyoka?.

Kwakutambua Jf wapo watu wa aina mbalimbali,kazi mbalimbli na uwezo wa kufikiri mbalimbali,nimeona hapa ni sehemu sahihi ya kujadili hili na kupewa majibu sahihi,karibuni kwa mwenye majibu mujarabu.
It's Dangerous To Be Right When The Government Is Wrong
 
Mmh! Mko juu kwa ukosoaji,
viongoz waongee nyie mje mkosoe nashindwa kuwaelewa kwakwel cjui ndo mateja wenyewe hawa .kwenu nyie jema ni lip? Lakn sishangai ata mitume wenyewe walipingwa

Mitume wazazi wako waliombiwa wanapenda katerero na wewe ukashangilia kiazi kabisa
Mmh! Mko juu kwa ukosoaji, mnasubir viongoz waongee nyie mje mkosoe nashindwa kuwaelewa kwakwel cjui ndo mateja wenyewe hawa .kwenu nyie jema ni lip? Lakn sishangai ata mitume wenyewe walipingwa
 
Huko Shimoni usiku wake mmoja ni sawa na usiku mia kwanza kuna baridi hatari na kama ujuavyo shati lazima uvuliwe... ndio kasema kuna watu hawakutegemea kufika lakini wamefika...

Hadithi ya Mtego wa Panya inatuhusu wote japo muadithiaji haijui vizuri kama inamuhusu hadi yeye... Ngombe lazima achinjwe ni sawa na kukata tawi ulilolikalia
Hadithi mubashara
 
Cjui kwa nn makonda anapenda kujificha kwenye dini. Anajiona yy ana dhambi ni mtakatifu cjui, ila naic anamuiga boss wake maana akiongea kidogo tu anaomba kuombewa.
Na amekuwa akidai anatafuta kitu cha kwenda kujibu mbele ya Mungu kama vile dhambi iliyopo duniani ni moja tu....Na zile Uongo, Uasherati na zingine zote keshazikabili..
 
Mmh! Mko juu kwa ukosoaji, mnasubir viongoz waongee nyie mje mkosoe nashindwa kuwaelewa kwakwel cjui ndo mateja wenyewe hawa .kwenu nyie jema ni lip? Lakn sishangai ata mitume wenyewe walipingwa

unauliza maswali na kujijibu mwenyewe,inashangaza
 
Mmh! Mko juu kwa ukosoaji, mnasubir viongoz waongee nyie mje mkosoe nashindwa kuwaelewa kwakwel cjui ndo mateja wenyewe hawa .kwenu nyie jema ni lip? Lakn sishangai ata mitume wenyewe walipingwa
Ulitaka wasifie hata upuuzi?shame on.u
 
Back
Top Bottom