Mpuuzi tuu, wwengi wa hawa wasanii wanajifanya wanajali sana ila wanachokiangalia ni michongo kipindi hichi cha kampeni, hatujawahi kuwasikia kuhusu katiba, hatujawasikia kwenye ESCROW, hatujawasikia kipindi hamna dawa wagonjwa wanakufa muhimbili, umalaya tuu