Mkuu ni wapi hapo nipitie mchana huu kubadilisha 100 yangu?kuna sehemu hapa Arusha ni 1710
Inside information ni kwamba target in the next two months iwe 2000 kwa dola moja sawa na uero
Mnashangaa nini ndiyo makubwa ya JK hayo. Well hivi ile argument kwamba shilingi ikiporomoka inachangia kuongeza exports, kwa nini wasiiporomoe iwe $1 kwa laki moja?
Mkuu,
Majuzi katika mkutano mmoja Ben Benarnke alisema there is little that the Central bank can do to save the country economy. Monetary policy bila ya kuwapo kwa sound fiscal policy ni vigumu sana kuokoa uchumi. Benki kuu itajitahidi kuzuia kuporomoka kwa shillingi kwa njia mbali mbali kama kupunguza pesa za kutoka kwenye mzunguko wa fedha, kuingiza fedha zaidi za kigeni nyingi katika mzunguko nk. But Shida ya monetary policy ni kwamba ni measures za muda mfupi kuokoa uchumi. Serikali inabidi ijitahidi kuokoa uchumi wa nchi kuanguka kwa kutatua tatizo la umeme, ufisadi, dollarisation nk. Bila ya strong fiscal policy BOT itabakia kama bubu kwani ikiingiza pesa zaidi katika mzunguko zitashusha thamani za fedha za kigeni kwa muda mfupi lakini baada ya miezi miwili thamani ya dollar itazidi mara mbili ya ilivyokuwa mwanzo na kuzidisha ugumu wa maisha.
Tatizo moja ya watu kama Mdondoaji ni kujaribu kutaka kutatua matatizo yetu kwa kutumia/kuiga jinsi nchi kama marekani inavyotatua matatizo yao ya uchumi na ndio maana wanaquote Ben Barnake anasema nini na kuiga policy prescription zao. Uchumi wa marekani na uchumi wa Tanzania ni tofauti hivyo ni juu ya BOT kutumia njia za kuthibiti mfumuko wa bei relevant to our situation; kwani ikumbukwe kuwa exchange rate ni bei ya sarafu yetu kama bei za commodities nyingine!!. Mfano mdogo ni hii arguement kuwa kwa kuiachia sarafu yetu iwe rahisi/ yaani shilingi nyingi kwa dollar hivyo exports zetu zinafaidika kwa kupata fedha nyingi; lakini hali halisi ni kwamba toka nchi ianze kupata matatizo ya umeme na mafuta kupanda bei exports zetu zimepungua hence arguement hiyo sio sahihi!! BOT wanatakiwa wawe creative katika kutafuta monetary policy prescriptions ambazo zinaweza kustabilize currency yetu both in the short term na long term!! One suggestion ni jinsi ya kutumia dhahabu tuliyonayo bwerere hapa nchini.
Hata kama Benki kuu ya Tanzania ikichukua hatua haitosaidia kitu Uchumi wa Nchi umeshuka kwa kiasi kikubwa kila kukicha vitu vinapanda bei.Wanaofaidika ni viongozi wa serikali Mwaziri na Wabunge. Wanaoumia ni akina sisi walala hoi, waache Watu wauze hata dola 1 ikifika sh elfu 2000 poa tu tungojee uchaguzi ujao. Tunataka tupate Serikali inao waonea wananchi wake huruma sio Serikali inaowakandamiza wananchi wake natanguliza hiyo asanteni.Hatari kubwa sana ya kiuchumi inatusogelea, jioni ya leo baadhi ya maduka ya kubadili fedha za kigeni yalikuwa yananunua dolari kwa Tshs 1,700.
Sijui benki kuu ya Tanzania inachukua hatua gani madhubuti kujaribu kuzuia halii hii?
Nchi iko gizani karibu mwaka sasa, hakuna tunachouza zaidi ya kugawa kile tulichonacho! Natamani Michael Sata aje Tanzania atusaidie. Pamoja la hayo, sisi tunaowaangalia viongozi wetu wakitusababishia matatizo ni sawa nao tu. Kwani tumebaki kupiga kelele za kichura bila kufanya kile kinachotakiwa.
Mkuu,
Majuzi katika mkutano mmoja Ben Benarnke alisema there is little that the Central bank can do to save the country economy. Monetary policy bila ya kuwapo kwa sound fiscal policy ni vigumu sana kuokoa uchumi. Benki kuu itajitahidi kuzuia kuporomoka kwa shillingi kwa njia mbali mbali kama kupunguza pesa za kutoka kwenye mzunguko wa fedha, kuingiza fedha zaidi za kigeni nyingi katika mzunguko nk. But Shida ya monetary policy ni kwamba ni measures za muda mfupi kuokoa uchumi. Serikali inabidi ijitahidi kuokoa uchumi wa nchi kuanguka kwa kutatua tatizo la umeme, ufisadi, dollarisation nk. Bila ya strong fiscal policy BOT itabakia kama bubu kwani ikiingiza pesa zaidi katika mzunguko zitashusha thamani za fedha za kigeni kwa muda mfupi lakini baada ya miezi miwili thamani ya dollar itazidi mara mbili ya ilivyokuwa mwanzo na kuzidisha ugumu wa maisha.