ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,713
- 57,235
Hi kwa mfano unafanya kazi kwenye kiwanda kipo Mbagala na kinakulipa 7,000 kwa siku utaishi vipi endapo nauli unatumia 1000,chakula 3000,vocha na maji 1000. Hapo bado hujalipa kodi ya chumba na mahitaji mengine ya familia. Tuweni serious jamani 10,000 sio hela kwa siku inaisha haraka sana sasa sijui nini maana ya viwanda kama ujira wenyewe ndo mdogo kiasi hicho?