Uchaguzi 2020 Shilatu: Lissu ana maswali ya kutujibu kwanza Watanzania

wandamba

JF-Expert Member
Apr 29, 2014
510
839
Tundu Lissu mmojawapo wa wagombea uchaguzi Mkuu 2020 ambaye anazunguka kuomba ridhaa. Watanzania tuna kila sababu ya kumuhoji Lissu maswali haya.

Lisu huyu ndiye yule aliyekuwa akiwatetea ACACIA kwenye suala la madini, kwanini aungane na waliokuwa wanaiibia nchi na kuanza kuwatetea? Akaenda mbali akawa anatutisha Watanzania kuwa tutashtakiwa wakati akijua wazi hatuwezi kushtakiwa, alikuwa akiyafanya haya kwa faida ya Watanzania kweli?

Wengine watasema ni haki yake, sawa ni haki yake tufanye. Ni haki sahihi kuwatetea wezi wa madini yetu? Ni haki kubariki kuibiwa na kuachiwa maandaki na umaskini na wanyonyaji wa rasilimali hizi?

Jambo jema yule aliyekuwa akiwatetea wezi wa madini yetu ndio huyo huyo anaomba ridhaa wakati ambao Dunia itashuhudia Oktoba 13, 2020 kampuni ya Barrick Gold ikitoa fidia ya gawio la zaidi ya Tsh. Bilioni 100 ambayo ni matunda ya mikataba ya madini na sheria zinazolinda maliasili na madini ya Tanzania.

Watanzania muulizeni Lissu mbona hatujashtakiwa kama alivyosema? Mbona aliosema wana haki ndio wanaotupa gawio la Mabilioni ya fedha?

Ni Lissu huyu huyu pasi na haya alishiriki kuhujumu ndege zetu ili zikamatwe, kwanini aliamua kuhujumu mali za Taifa? Ni kwa faida ya Watanzania ama faida ya Mabeberu anaowatumikia? Anaendaje kuomba kura kwa Watanzania aliowasaliti?

Lissu aendelee kutueleza nini maana yake kuwasimanga, kuwananga, kuwadhihaki Watanzania kuwa ni maskini wakati huo anawaomba michango ya kampeni! Mtu maskini na mwenye uchumi mbovu utamwombaje michango? Atatembezaje bakuli kwa Watu maskini?

Ni Lissu huyu huyu anaomba kupigiwa kura wakati yeye mwenyewe hajajiandikisha na hajaboresha taarifa zake kwenye daftari la Wapiga kura! Watanzania wampigie kura asiyeweza kujipigia kura?

Shilatu, E.J
 
Lisu huyu ndiye yule aliyekuwa akiwatetea ACACIA kwenye suala la madini, kwanini aungane na waliokuwa wanaiibia nchi na kuanza kuwatetea? Akaenda mbali akawa anatutisha Watanzania kuwa tutashtakiwa wakati akijua wazi hatuwezi kushtakiwa, alikuwa akiyafanya haya kwa faida ya Watanzania kweli?
Mwambie Shilatu singeli zake zilishapitwa na wakati na wala hajui analo liongea. Muulize kama anamfahamu Mwanyika na nani amempitisha kuwa mgombea ubunge wa Njombe. Muulize pia kama anaelewa MIGA ni nini? Lissu alishauri nini? Malizia kwa kumuuliza kuwa anawafahamu wale WANAUME wa BARRICK waliokuwa na hisa kule ACCACIA? Je wametufanya nini? Yale madai ya $190B yaliyotokana na Professorial .......yaliyeyukaje kuja kuwa S300M. Makinikia yanakwenda kuchenjuliwa nje, mbona serikali haijatuambia hata siku moja mle mna nini? Smelter imeishia wapi. Tulichopata na tulichodai vinafanana? Tuna hakika gani hatuta pigwa tena na hata kesi si dar es salaam bali huko majuu.
 
Polepole atatusaidia kutujibu hapa.
EkC6MxgXsAEG-gl.jpg
 
Tundu Lissu mmojawapo wa wagombea uchaguzi Mkuu 2020 ambaye anazunguka kuomba ridhaa. Watanzania tuna kila sababu ya kumuhoji Lissu maswali haya.

Lisu huyu ndiye yule aliyekuwa akiwatetea ACACIA kwenye suala la madini, kwanini aungane na waliokuwa wanaiibia nchi na kuanza kuwatetea? Akaenda mbali akawa anatutisha Watanzania kuwa tutashtakiwa wakati akijua wazi hatuwezi kushtakiwa, alikuwa akiyafanya haya kwa faida ya Watanzania kweli?

Wengine watasema ni haki yake, sawa ni haki yake tufanye. Ni haki sahihi kuwatetea wezi wa madini yetu? Ni haki kubariki kuibiwa na kuachiwa maandaki na umaskini na wanyonyaji wa rasilimali hizi?

Jambo jema yule aliyekuwa akiwatetea wezi wa madini yetu ndio huyo huyo anaomba ridhaa wakati ambao Dunia itashuhudia Oktoba 13, 2020 kampuni ya Barrick Gold ikitoa fidia ya gawio la zaidi ya Tsh. Bilioni 100 ambayo ni matunda ya mikataba ya madini na sheria zinazolinda maliasili na madini ya Tanzania.

Watanzania muulizeni Lissu mbona hatujashtakiwa kama alivyosema? Mbona aliosema wana haki ndio wanaotupa gawio la Mabilioni ya fedha?

Ni Lissu huyu huyu pasi na haya alishiriki kuhujumu ndege zetu ili zikamatwe, kwanini aliamua kuhujumu mali za Taifa? Ni kwa faida ya Watanzania ama faida ya Mabeberu anaowatumikia? Anaendaje kuomba kura kwa Watanzania aliowasaliti?

Lissu aendelee kutueleza nini maana yake kuwasimanga, kuwananga, kuwadhihaki Watanzania kuwa ni maskini wakati huo anawaomba michango ya kampeni! Mtu maskini na mwenye uchumi mbovu utamwombaje michango? Atatembezaje bakuli kwa Watu maskini?

Ni Lissu huyu huyu anaomba kupigiwa kura wakati yeye mwenyewe hajajiandikisha na hajaboresha taarifa zake kwenye daftari la Wapiga kura! Watanzania wampigie kura asiyeweza kujipigia kura?

Shilatu, E.J
Mnafiki ni mtu mbaya sana. Mikataba ya madini na Gesi havijawahi kuwekwa wazi hata siku moja. Mtu anaamua kukupa 1/10000% ya mali yako aliyochukua wewe unachekelea kama zuzu. Mwlm Nyerere alipata Sema "mtu anaweza kukupa karatasi ya sigara nawe ukachekelea kuwa ni almasi "wewe utakua ni zuzu!! Wekeni mikataba ya madini na gesi peupe mbivu na mbichi zionekane sio kelele za uzuzu hapa.!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Lisu aliita ripoti ya makinikia kuwa ni Takataka,

Lakini takataka hiyo ndio Imetuletea mabadiliko ya sheria ambayo kwa sasa tunafaidi mgao wa bilioni 100 hapo tarehe 13 ya mwezi huu.
 
Kwani sheria zetu zinasemaje kuhusu wezi?
nani aliesaini mikataba ya kijinga mpaka tukaibiwa?mwizi gani mliye mpeleka mahakamani kushitakiwa kwa kuiba rasilimali zetu?yaani muziibishe rasilimali zetu mkishirikiana na hao unaowaita wezi miaka yote na mikataba mkafanya siri halafu leo mnakuja mnatuambia ccm mnatetea rasilimali zetu,mkiiba kura ccm mwaka huu tutaparurana.

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Mtujibu kwanza kwanini mlitaka kumuua?
Wakati amri za Mungu zinasema usiue?
Mlishindwa kushindana kwa hoja kweli?
 
Tundu Lissu mmojawapo wa wagombea uchaguzi Mkuu 2020 ambaye anazunguka kuomba ridhaa. Watanzania tuna kila sababu ya kumuhoji Lissu maswali haya.

Lisu huyu ndiye yule aliyekuwa akiwatetea ACACIA kwenye suala la madini, kwanini aungane na waliokuwa wanaiibia nchi na kuanza kuwatetea? Akaenda mbali akawa anatutisha Watanzania kuwa tutashtakiwa wakati akijua wazi hatuwezi kushtakiwa, alikuwa akiyafanya haya kwa faida ya Watanzania kweli?

Wengine watasema ni haki yake, sawa ni haki yake tufanye. Ni haki sahihi kuwatetea wezi wa madini yetu? Ni haki kubariki kuibiwa na kuachiwa maandaki na umaskini na wanyonyaji wa rasilimali hizi?

Jambo jema yule aliyekuwa akiwatetea wezi wa madini yetu ndio huyo huyo anaomba ridhaa wakati ambao Dunia itashuhudia Oktoba 13, 2020 kampuni ya Barrick Gold ikitoa fidia ya gawio la zaidi ya Tsh. Bilioni 100 ambayo ni matunda ya mikataba ya madini na sheria zinazolinda maliasili na madini ya Tanzania.

Watanzania muulizeni Lissu mbona hatujashtakiwa kama alivyosema? Mbona aliosema wana haki ndio wanaotupa gawio la Mabilioni ya fedha?

Ni Lissu huyu huyu pasi na haya alishiriki kuhujumu ndege zetu ili zikamatwe, kwanini aliamua kuhujumu mali za Taifa? Ni kwa faida ya Watanzania ama faida ya Mabeberu anaowatumikia? Anaendaje kuomba kura kwa Watanzania aliowasaliti?

Lissu aendelee kutueleza nini maana yake kuwasimanga, kuwananga, kuwadhihaki Watanzania kuwa ni maskini wakati huo anawaomba michango ya kampeni! Mtu maskini na mwenye uchumi mbovu utamwombaje michango? Atatembezaje bakuli kwa Watu maskini?

Ni Lissu huyu huyu anaomba kupigiwa kura wakati yeye mwenyewe hajajiandikisha na hajaboresha taarifa zake kwenye daftari la Wapiga kura! Watanzania wampigie kura asiyeweza kujipigia kura?

Shilatu, E.J
Ng'ombe za Lumumbaa na fake IDs

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Naona mbeya kumelipuka shangwe huku wanamsindikiza salum mwalimu kuelekea songwe sema naumwa nimeshindwa kuhudhuria leo
 
Lisu aliita ripoti ya makinikia kuwa ni Takataka,

Lakini takataka hiyo ndio Imetuletea mabadiliko ya sheria ambayo kwa sasa tunafaidi mgao wa bilioni 100 hapo tarehe 13 ya mwezi huu.
Shilingi bilioni 100, shilingi, si dola, kwenye uchaguzi ni bilioni ngapi

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Akiri za senene hizi,yanafia kwenye taa.

Nadhani sasa unamiriki Noah.na deni la taifa limeshuka baada ya kuwadaka wezi wa madini madini.
Ukitoka chooni jisafishe vizuri usitoke unanuka.
 
Lissu hakuwahi kuwatetea acacia, alikua anaitahadhalisha serikali juu ya njia waliyokua wanatumia kupambana na wawekezaji wa madini.

lakini wajuaji wa CCM wakiongozwa na mwenyekiti wakajifanya magwiji.

Leo acacia wanasafisha mchanga kama kawaida, na hakuna cha kujenga kinu wala nini.

Eti tutagawana faida 50/50 😂😂😂😂. Ni lini acacia waliwahi ku declare faida?

Nguvu nyingi akili kidogo.
 
Back
Top Bottom