Shikamoo Wachaga!

Shikamoo Wachaga!

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,254
Madaktari 6 watanzania walioombwa na WHO kwenda Sierra Leone kutibu Ebola na kulipwa 2,000,000/= kwa siku wanaitwa majina haya :

1. Dr. Esta Kokugasha Mukasa - kakataa kwenda

2. Dr. Makame Seif Makame - kakataa

3. Dr. Masanja - kakataa

4. Dr. Rutabanzibwa - kakataa

5. Dr. Ngonyani - kakataa

6. Dr. Lyimo - Kakubali


Shikamoo wachaga 🙌 🙌
 
Kama vile sijaelewa!!

Pamoja na hatari zote za kuhudumia wagonjwa wa Ebola dr Lyimo (ambaye ni mchaga) alikua tayari kuchukua hiyo risk na kwenda kuzikunja hizo tsh 2,000,000/- kwa siku!
 
Back
Top Bottom