mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 22,304
- 72,055
kumbe size yangu kabisa yaaniWe umeniona?? Ngoja nifike 3rd floor ndio tuitane mashangazi rasmi 🤣🤣🤣
kumbe size yangu kabisa yaaniWe umeniona?? Ngoja nifike 3rd floor ndio tuitane mashangazi rasmi 🤣🤣🤣
Tatizo moja tyuuu!! Pesa huna shem 🤣🤣🤣kumbe size yangu kabisa yaani
Sasa wee wizooo hutaki kusalimiwa shikamoo?




Hivi wizo mara hii umeshasahau kuwa mie ni shangaziii![]()



sasa unakataa kusalimiwa na vibenteni na vi marioo? Wizoo em taratibu acha kubemenda watoto wa watu uwiiiih



wizo dr mbona umemuitikia?? Kumbe unampenda ww huna lolote….. mfyuuuu!!



kwamba wizoo sahiv yuko na Daktareee??Hogo la papuchi liko pale pale wizo. Nitakupiga nalo japo mie ni shangazii
Tena uniheshimuu mie wifi yako alaaaah



wizo ulikula nn wee? Mie mbavu zinauma hapa khaaahDr ni mkwe wangu wizoo, shemeji yangu ni mwanae wa tatu aliyemuoa dada yangu mzaa shangazi yanguu![]()







wizoo umeranduka km wanzuki ya ndizii, khaaahWizo leo mie mbaba tena jamanii??khaaaa kweli mmenichoka jamaniii
Wizo wewe ni wa kuniita mimi mbaba kweliiiiiiiiiii wizooooooooooooo uwiiiiih![]()




Unampa bichwa tuu hapo..Hanaga ugomvi na mtu wizo wangu, kwere ulete wewe labda 😂😂😂😂
Shkamoo hiyo veepeee 😹😹😹Sasa wee wizooo hutaki kusalimiwa shikamoo?![]()
Shikamoo bichwa komweHivi hii salamu ya kifashisti ilitungwa na nani?
Kuna watu wamenizidi umri lakini nikiwaamkia shkamoo hawaitikii. Wanaona soo.
Kesho yake ukijiongeza ukaamua kutokumsalimia ananuna na kufura kama jinamizi. Sijui ni kwanini ati?
Mimi mwenyewe nikiambiwa shkamoo siitikii kabisa. Labda niamkiwe na vitoto vya chekechea.
Dume zima na mandevu ati shkamoo? Kivipi?
Namuagiza samia aifute hii salamu ya shkamoo mara moja katika mipaka yote ya Tanganyika. Salamu ya fedheha sana hii.
Awaelekeze Bakita watunge salamu nyingine itakayoenzi utu wa watu badala ya kusujudiana kwa mashkamoo ya hovyo hovyo.
Wizo na daktaree kuna something sema wanatuzuga hawa udugu 😂😂😂😂kwamba wizoo sahiv yuko na Daktareee??
Hii salamu siipendi kusalimiwa kwa wote wanaostahili kunisalimia.Hivi hii salamu ya kifashisti ilitungwa na nani?
Kuna watu wamenizidi umri lakini nikiwaamkia shkamoo hawaitikii. Wanaona soo.
Kesho yake ukijiongeza ukaamua kutokumsalimia ananuna na kufura kama jinamizi. Sijui ni kwanini ati?
Mimi mwenyewe nikiambiwa shkamoo siitikii kabisa. Labda niamkiwe na vitoto vya chekechea.
Dume zima na mandevu ati shkamoo? Kivipi?
Namuagiza samia aifute hii salamu ya shkamoo mara moja katika mipaka yote ya Tanganyika. Salamu ya fedheha sana hii.
Awaelekeze Bakita watunge salamu nyingine itakayoenzi utu wa watu badala ya kusujudiana kwa mashkamoo ya hovyo hovyo.


, hasa wazee wa VijijiniKm jina lake 🤣🤣🤣Unampa bichwa tuu hapo..
Na alivo na mkomwe nae anafurahi
😂😂😂😂😂
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 nimecheka sana...Komwe linampelekesha 🤣🤣🤣