Na sisi shikamoo tunaing'ang'ania ya nini? Inamaanisha, niko chini ya miguu yako. Salamu ya kitumwa! Lakini wazee usipowaamkia patachimbika!! Tubadilike waswahili!
Na sisi shikamoo tunaing'ang'ania ya nini? Inamaanisha, niko chini ya miguu yako. Salamu ya kitumwa! Lakini wazee usipowaamkia patachimbika!! Tubadilike waswahili!
Shikamoo ililetwa na mabwana wa utumwa ndio maana inatumiwa maeneo ya pwani zaidi kwa maeneo yote ya afrika mashariki. Hata bongo mikoani hawaitumii sana hiyo shikamoo.
Ulishaenda kyela na kukuta wanyakyusa wanasalimiana shikamoo?
Shikamoo ililetwa na mabwana wa utumwa ndio maana inatumiwa maeneo ya pwani zaidi kwa maeneo yote ya afrika mashariki. Hata bongo mikoani hawaitumii sana hiyo shikamoo.
Ulishaenda kyela na kukuta wanyakyusa wanasalimiana shikamoo?
Mwalimu wako au mtu wa makamo hesabu ya mzee wako ulikuwa unamuamkiaje?
Shikamoo haina maaana ya utumwa ni heshima na utamaduni wa kiafrika kwa kijana kumpa mtu alie na umri wa kumzidi. Hukuti mtu mwenye umri mkubwa namuamkia mdogo shikamoo.