Shikamoo Mhe: Dr John Pombe Makufuli

frema120

JF-Expert Member
Jan 1, 2012
5,099
1,338
Shikamoo babaa dokta makufulii?
Napenda sana utendaji, usimamizi na uwajibikaji wako katika kutumikia wananchi,

Sasa nimefika jiji la masamaki kuna kamvua kwa mbaliliiiii
so nilipitaga barabara ya kati muda sio mrefu kwenda mwanza from dar~moro~dodoma~singida n.k.
Katika MLIMA SENKEKE (ulikua ni hatari sana) nashukuru kwakuuhamisha toka kule pahatari na kuja huku sasa ulipo kwenye heri kidogo.....
ikiwa hata mwaka ujafika jana nimepita mlima huo nilitamani kulia kwani barabara hile imealibika kweli
Mashimo ni mengi, kingo za madaraja zimetoka, alama za barabaran hakuna, magari makubwa hupata tabu kupita, kona kali nying n.k

Na ulitamba kuwa mtu atatoka mtwara mpaka mwanza kwa taxes, je itawezekana kwa hali hiyo......

Ok mimi nakusalimu tu, nimefika kwa babu naongeza siraha, niludi tena jiji la maraha bongo na hongera kwakumkosesha mwezio ubunge na kauli zako za bulabo nimepita kwake yanii inaumaaa

V
SENGEREMA
 
Serkali yetu ni sikivu,imesikia hiyo kero yako na itachukua hatua baada ya upembuzi yakinifu kukamilika
 
"msipochagua CCM. Hatutawajengea daraja" Mh John Pombe Magufuli

 
Serkali yetu ni sikivu,imesikia hiyo kero yako na itachukua hatua baada ya upembuzi yakinifu kukamilika

asante mh..... , kwa jibu lako makini na nzuri, swali la nyongeza.. je upembuzi yakinifu utafanyika mwaka huu wa fedha na lini?
 
'Tumeisha fanya epembuzi yakinifu mkimchagua mgombea wetu KAFUMU mkandarasi wa kichina anaanza kazi ya kujenga daraja mara moja'.........PENAAAAAAAALT!
 
Hahaha hii barabara mashimo ni mengi tena yale makubwa in such a way kwamba magari kama yanamzigo[mzito] mkubwa yanashindwa kuingia kwenye hayo mashimo na kupita kwa pembeni ambapo ndio panaharibika zaidi. Juzi wakati napita hilo eneo kuelekea Tabora lori moja la mizigo nusu lipinduke kama dereva asingeshika breaks na kulisimamisha hapo hapo na mzigo wote kumwagika chini katika jitihada za kukwepa mashimo. Ukarabati wa haraka unahitajika eneo lile.
 
hili swala lipo mahakamani hurusiwi kulijadili, kaa chini.!
 
hizo ni changamoto ambazo serikali inaanangalia mkakati muafaka wa kuikabili, infact tayari Serikali ipo katika mchakato wa kutafuta mkandarasi wa kufifanya upembuzi yakinifu hiyo barabara, naamini upembuzi yakinifu utakapokamilika tutaendelea na mkakati wa kutafuta wafadhili watupatie pesa na ndio tuendelee na mchakato wa kutafuta mkandarasi wa wawezi kuikarabati hiyo barabara.
Naamini naweza kuwa waziri na kujibu maswali kiufasaha kama hivyo, au sio wajameni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom