Shikamoo Kamikaze

Shikamoo Kamikaze

Hizo story tu... Alipataga matatizo akawa anatembeza bakuli kama kawaida tu
mkuu unaesemea kuwa kaoa na alitembeza bakuli ni Mabeste, cyril hajaoa na hajawai kutembeza bakuli na yupo vizuri kiuchumi.
 
mkuu unaesemea kuwa kaoa na alitembeza bakuli ni Mabeste, cyril hajaoa na hajawai kutembeza bakuli na yupo vizuri kiuchumi.
Mm mwenyw nimejiuliza sana au 4G lite anataka kutukatisha tamaa ya kumpata cyliy
 
Sasa Kama hupendi mademu tatizo lako c ndo hilo sasa mm mwanaume
basi nipe hata dada ako aje akuhadithie tu kama jogoo ana wika au laaah usinipe under 23 ntafumua kizaz
 
anyways u better be beautiful too lady.otherwise utaimbiwa na manfongo
 
Wanaume wako hivo Mimi kuna siku nilikuwa naangalia movie Fulani ya William levy na mpenzi nikasema huyu mkaka nampendaga nilipigwa Kofi moja hilo sitosahau , yaani sijui wapoje
yan wew ni me alafu unapenda wanayme wenzako OMG God is watching you walahi utakuwa kibudu wew sio bure
 
Naona mmeamua kupaishana, hongera sana naona thamani ya Cyril imepanda toka 10% hadi 80%
 
yan wew ni me alafu unapenda wanayme wenzako OMG God is watching you walahi utakuwa kibudu wew sio bure
Sina Muda wa kujibizana na mapunga avatar yako inadhihirisha wewe sio mwanaume halisi yaani unatamani ungekuwa kama huyo wa kwenye avatar yako lakn ndo ishakuwa ila Mimi hiyo avatar yangu ndo Mimi mwenyewe kwahiyo mchicha mwiba nani Kati yangu na ww
 
mna maneno
"eti pua kama ya mume wa Shamsa"

SHAMSA-FORD22.jpg
 
Sina Muda wa kujibizana na mapunga avatar yako inadhihirisha wewe sio mwanaume halisi yaani unatamani ungekuwa kama huyo wa kwenye avatar yako lakn ndo ishakuwa ila Mimi hiyo avatar yangu ndo Mimi mwenyewe kwahiyo mchicha mwiba nani Kati yangu na ww
mfa maji haachi kujitapa
 
Back
Top Bottom