Chukua Line Mpya itie kwenye smartphone au simu yoyote ambayo ina support internet
Utatumiwa Installation kwenye simu na wewe utazi install ukidaiwa pswd wakati wa installation tumia 1111
Baada ya hapo itie kwenye Modem line then tengeneza Profile yenye jina Halotel au utakalopenda lakini APN u set b-internet