PreGE2025 Shigongo: Tupo tayari kupambana na yeyote atakayejaribu kupotosha maendeleo ya Buchosa

PreGE2025 Shigongo: Tupo tayari kupambana na yeyote atakayejaribu kupotosha maendeleo ya Buchosa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema hawatamvumilia mtu yeyote ambaye anapotosha kuhusu maendeleo yaliyopatikana chini ya serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Shigongo ameyasema hayo mbele ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Ally Kawaida aliyefika Jimbo la Buchosa kuzungumza na wananchi kwenye mkutano uliofanyika katika Kata ya Nyehuge, Buchosa.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Shigongo amesema mambo mengi na makubwa yamefanyika Buchosa chini ya Rais Samia na kwamba hawatamvumilia mtu yeyote atakayekwamisha au kupotosha kuhusu maendeleo hayo.

Source: Global Tv
 
Ni nani mwanzilishi wa siasa za kipumbavu namna hii ?
 
Ukiona Maendeleo yanahitaji utetezi jua hakuna kitu hapo!
 
Jimbo lina mpambano mkali, maana hata Tizeba bado analitaka, ajiandae kwa shughuli iliyoko mbele yake.
 
Back
Top Bottom