Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amesema hawatamvumilia mtu yeyote ambaye anapotosha kuhusu maendeleo yaliyopatikana chini ya serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Shigongo ameyasema hayo mbele ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Ally Kawaida aliyefika Jimbo la Buchosa kuzungumza na wananchi kwenye mkutano uliofanyika katika Kata ya Nyehuge, Buchosa.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Shigongo amesema mambo mengi na makubwa yamefanyika Buchosa chini ya Rais Samia na kwamba hawatamvumilia mtu yeyote atakayekwamisha au kupotosha kuhusu maendeleo hayo.
Source: Global Tv
Shigongo ameyasema hayo mbele ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Ally Kawaida aliyefika Jimbo la Buchosa kuzungumza na wananchi kwenye mkutano uliofanyika katika Kata ya Nyehuge, Buchosa.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Shigongo amesema mambo mengi na makubwa yamefanyika Buchosa chini ya Rais Samia na kwamba hawatamvumilia mtu yeyote atakayekwamisha au kupotosha kuhusu maendeleo hayo.
Source: Global Tv