GE2025 Shigongo atinga Kata za Kome kwa Baiskeli

GE2025 Shigongo atinga Kata za Kome kwa Baiskeli

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, akiwa ameambatana na Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu, walipanda baiskeli za wajumbe baada ya kutoka Kata ya Lugata iliyoko Kisiwa cha Kome, walipokuwa wamekwenda kukutana na viongozi wa Halmashauri Kuu za Matawi pamoja na Kamati za Siasa za Matawi na Kata

Ziara hiyo imefanyika baada ya uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM kuhitimishwa, ambapo Eric Shigongo aliteuliwa kuwania tena kiti hicho kwa muhula wa pili

1757332917224.png



1757333002692.png


Chanzo: Globaltvonline
 
Phoenix za Kichina sio kabisa

Chuma hiki hapa Original kabisa
Screenshot_20250908_133205.jpg
 
Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, akiwa ameambatana na Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu, walipanda baiskeli za wajumbe baada ya kutoka Kata ya Lugata iliyoko Kisiwa cha Kome, walipokuwa wamekwenda kukutana na viongozi wa Halmashauri Kuu za Matawi pamoja na Kamati za Siasa za Matawi na Kata

Ziara hiyo imefanyika baada ya uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM kuhitimishwa, ambapo Eric Shigongo aliteuliwa kuwania tena kiti hicho kwa muhula wa pili



Chanzo: Globaltvonline
IMG_7986.jpeg
 
Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, akiwa ameambatana na Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu, walipanda baiskeli za wajumbe baada ya kutoka Kata ya Lugata iliyoko Kisiwa cha Kome, walipokuwa wamekwenda kukutana na viongozi wa Halmashauri Kuu za Matawi pamoja na Kamati za Siasa za Matawi na Kata

Ziara hiyo imefanyika baada ya uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM kuhitimishwa, ambapo Eric Shigongo aliteuliwa kuwania tena kiti hicho kwa muhula wa pili



Chanzo: Globaltvonline
Tunaoishi huku boko mnemela hapo huyo shigongo ndio yupi
 
Bila shaka atatufikia nasi wa visiwani baada ya kutususa kwa miaka mitano. NRNE.
 
Back
Top Bottom