Mfanyakazi Hodari
Member
- Feb 4, 2013
- 14
- 0
Jamani wana JF naomba niwaulize kwamba hivi zile nafasi za shift incharge Tanroads Kibaha ziliishatoka?
unamaanisha nn? kama ni kuitwa kwenye interview hilo tayari. ilikuwa tarehe 5-8 mwezi huu pale kibaha. ila kuhusu ajira sijajua. hata mie natamani kujua cause nilipiga interview hiyo