Shida ya maji mwanza ilemela

Shida ya maji mwanza ilemela

nafiaafrca

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
248
Reaction score
308
Tukama mwezi sasa maji yamekuwa shida hasa maineo ya pasians kiseke nk kama kunamtu wa idara ya maji aje atupe ufafanuzi tatizo nini maana biri mnatuletea tena kwa bwebwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitila mkumbo ni memba wa JF aje aelezee, watu wamezungukwa na maji kisha wanalalamika shida ya maji
 
Back
Top Bottom