Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Wakuu.
Mji wa Korogwe ambao upo Wilaya ya Tanga ni miongoni mwa miji inayokua kwa kasi sana na ni Mji kiungo kibiashara kati ya Lushoto, Tanga, Dsm, Moshi /Arusha, Morogoro.
Ni Mji ambao unapitiwa na barabara kuu na reli ambayo miundombinu yake imekarabatiwa vizuri.
Mji wa Korogwe unapitiwa na mto mkubwa wa Pangani unapita katikati.
Kuna mito mingine ya kudumu kama Soni, Mkomazi, Lwengera, Nkole, Vumuni n.k
Shida ya maji Korogwe Mjini ni ya muda mrefu sanaaaa, maji ya kunywa hakuna kabisa.
Kwa mwezi maji yanatoka mara mbili mpaka 3 kwa mwezi mzima.
Shida ni nini ? Wataalamu wa Maji au viongozi wa serikali au Siasa Wilaya ya Korogwe?
Mito ipo yenye maji mwaka mzima.
Mji wa Korogwe ambao upo Wilaya ya Tanga ni miongoni mwa miji inayokua kwa kasi sana na ni Mji kiungo kibiashara kati ya Lushoto, Tanga, Dsm, Moshi /Arusha, Morogoro.
Ni Mji ambao unapitiwa na barabara kuu na reli ambayo miundombinu yake imekarabatiwa vizuri.
Mji wa Korogwe unapitiwa na mto mkubwa wa Pangani unapita katikati.
Kuna mito mingine ya kudumu kama Soni, Mkomazi, Lwengera, Nkole, Vumuni n.k
Shida ya maji Korogwe Mjini ni ya muda mrefu sanaaaa, maji ya kunywa hakuna kabisa.
Kwa mwezi maji yanatoka mara mbili mpaka 3 kwa mwezi mzima.
Shida ni nini ? Wataalamu wa Maji au viongozi wa serikali au Siasa Wilaya ya Korogwe?
Mito ipo yenye maji mwaka mzima.