Shida ni hii hapa

Shida ni hii hapa

Humu kuna wanaume wenye huitaji wa mwanamke sana tena sifa tunazotaka ila kuna shida moja hawana uaminifu kama huyu msichana au mama au dada kama anamaanisha na hamjui kila mmoja ana avatar ya uongo ambayo si uhalisia wa kweli majina ni tofauti naumbali unachangia .
Hata woga unachangia hivi huyu dada ni mwaminifu huyu ni mkweli je nikimfukuzia sintoopigwa na boyfriends zake??.
Woi nandio the same to ladies.
Hay basi ndio maana humu kulalama ni kawaida watu wanaenda kulana tu ila kuna part moja iko serious ingine ni player.
Mimi kweli uhitaji wa mtu ninao ila huku siko serious kwa ajili hiyo ndio maana niko open na write anything ambayo nataka na wanasema maneno mengi mabaya ila sijali because hatujuani pressure zanini.
Mume hutoka kwa Mungu na mke hutoka kwa Mungu.
Nikienda shule hujui ataniona huko au nikiwa naenda sokoni au kufurahia sehemu namkuta my love na mnasikia nimesahau huku kabisa kumbe nimepatwa.
Waweza kumdharau mtu humu ukaja kumuoa na hamjuani baadae kumbe unamkuta ni demiss au ni mwingine .
Maisha nikumuheshimu mtu usipende kumtupia mtu lawama.
Hujui huyo unayemdharau ndio anatakusaidia uko mkoa wawatu.
Madharau ni mabaya kama wewe umezoea kudharau watu .
Nimemaliza yangu i hope mmenielewa .
HUITAJI =×
[emoji41]
 
Yaani umegoma kabisa kubadilisha mwandiko
 
Humu kuna wanaume wenye huitaji wa mwanamke sana tena sifa tunazotaka ila kuna shida moja hawana uaminifu kama huyu msichana au mama au dada kama anamaanisha na hamjui kila mmoja ana avatar ya uongo ambayo si uhalisia wa kweli majina ni tofauti naumbali unachangia .
Hata woga unachangia hivi huyu dada ni mwaminifu huyu ni mkweli je nikimfukuzia sintoopigwa na boyfriends zake??.
Woi nandio the same to ladies.
Hay basi ndio maana humu kulalama ni kawaida watu wanaenda kulana tu ila kuna part moja iko serious ingine ni player.
Mimi kweli uhitaji wa mtu ninao ila huku siko serious kwa ajili hiyo ndio maana niko open na write anything ambayo nataka na wanasema maneno mengi mabaya ila sijali because hatujuani pressure zanini.
Mume hutoka kwa Mungu na mke hutoka kwa Mungu.
Nikienda shule hujui ataniona huko au nikiwa naenda sokoni au kufurahia sehemu namkuta my love na mnasikia nimesahau huku kabisa kumbe nimepatwa.
Waweza kumdharau mtu humu ukaja kumuoa na hamjuani baadae kumbe unamkuta ni demiss au ni mwingine .
Maisha nikumuheshimu mtu usipende kumtupia mtu lawama.
Hujui huyo unayemdharau ndio anatakusaidia uko mkoa wawatu.
Madharau ni mabaya kama wewe umezoea kudharau watu .
Nimemaliza yangu i hope mmenielewa .
Katoto kazuri kana maneno mazuri
 
Nahisi kapenda pasipo pendeka tuliza hisia zako yupo aliepangwa kuwa na wewe
 
Kilio hiki sio bure hebu funguka kipi kimekukuta aisee.
Wala nijuzi nimesoma post ya mwanadada aliyesema bado hajapata anatafuta woi.
Napost ya before alisema wanakaribia kuoana msubiri kadi humu usitegemee mtu atakuoa no.
1.hatujuani
2.avatar feki
3.kuonana ndoto
Sasa userious utokee wapi kam mtu miaka 3 nimmemjua mtu mwaka wa nne natapeliwa hela za watu ml.5 hazijarudi ai ndio umpe kweima.
 
Wanaume serious humu wapo bana. Na pia marafiki wazuri pia wapo mi ninao tunaonana tunasaidiana nk.
 
Back
Top Bottom