Simaanishi kluwa kila mtu ni mfuasi wa CCM humu. lakini naomba kila mtu ajisikie huru kujibu.
Assume wewe ni Mjumbe wa NEC na majina mawili yameletwa kupigiwa kura kumpata mgombe uraisi kwa tiketi ya CCM. Kura ungempigia nani kati yao?
NB This is assumption as I believe even if CHIBUDA will apply for presidency, his name will not easily get passed for voting to the floor...
Assume wewe ni Mjumbe wa NEC na majina mawili yameletwa kupigiwa kura kumpata mgombe uraisi kwa tiketi ya CCM. Kura ungempigia nani kati yao?
NB This is assumption as I believe even if CHIBUDA will apply for presidency, his name will not easily get passed for voting to the floor...