Shibuda si riziki CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Chadema ni Saccos ya Mtei inayosimamiwa na mkwe wake Mbowe pamoja na mjomba wake Lema
 
Wajanja tumeshajiunga kwenye safari ya matumaini ya mheshimiwa rais Lowasa
 
Habari za kutunga hizi.
Weka chanzo?
Ameyasema lini na WAPI?
Alikuwa anaongea / juhojiwa na nani?
Weka mahojiano hayo yakiwa katika sauti!
 
Shibuda ni kichaa ndio maana CHADEMA huwa hawaangaiki nae, kama angekuwa anajitambua wangemchukulia hatua. Shibuda ni Comedian
 
Aisee watakuwa wanamsingizia shibuda, sidhani kama kayasema hayo. that passage is way too direct.

I reserve judgement in this
 

Sasa mbona huo wimbo si mpya ni ule ule wa kila siku inamana hawajauchoka tu?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…