Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
Jamani wadau wa saikolojia na wale mnaomfahamu ndugu yetu John Shibuda Je uwezo wake wa kufikiri upo sawa sawa kama zamani au anatatizo la kisaikolojia linalohitaji apelekwe hospitali? Maana mi nashindwa kuelewa misimamo yake na matamshi yake kama kazaliwa leo!
Kwani keshafanya vituko vingi, mojawapo:
Kwani keshafanya vituko vingi, mojawapo:
- Alitaka kugombe Urais 2010 kumpinga JK, na watu walimshangaa kabisa, ikabidi akajiondoa
- CCM wakoona hawafai wakamtema na CDM wakamchukua, akashinda ubunge
- Lile la 2010 kaliibua tena sasa tena ndani yakikao cha CCM yeye kama kiongozi wa upinzani "ingawa sijui kama kweli hayo maneno ya kutaka kugombe urais aliyatoa kweli"
- Na vituko vingine vingi vya kupingana na maamuzi ya wengi ndani ya chama.