Shibuda: Mimi Nyambizi Sitoki CHADEMA

Shibuda: Mimi Nyambizi Sitoki CHADEMA

Sr. Magdalena

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2011
Posts
803
Reaction score
472
Mbunge wa CDM, Mh John Shibuda, amesema yeye ni sawa na nyambizi na kamwe hakuna wa kumtoa CDM, amedai CDM ni mali ya watanzania walio wanachama wa CDM na kamwe wanachama wa chama hicho hawatakubali chama hicho kuendeshwa kibabe na kihafidhina na viongozi wachache wanataka kuhodhi madaraka kwa nguvu.

Source: Raia Tanzania
 
Mbunge wa CDM, Mh John Shibuda, amesema yeye ni sawa na nyambizi na kamwe hakuna wa kumtoa CDM, amedai CDM ni mali ya watanzania walio wanachama wa CDM na kamwe wanachama wa chama hicho hawatakubali chama hicho kuendeshwa kibabe na kihafidhina na viongozi wachache wanataka kuhodhi madaraka kwa nguvu.

Source: Raia Tanzania



mbwa huyo 2015 arrest in peace
 
Huyo shibuda mamluki kashaona mwenzake anayolewa yeye ashaanza kutia maji nywele zake, lakini hata hivyo tulishamshitukia kitambo hivyo hana madhara kwa sasa kwenye chama MAKINI CHADEMA.
 
kama angelikuwa anatishia uwenyekiti wa mbowe asingekuwepo mbaka sasa

yani chadema wanatamani hata wamtoe kwenye ujumbe wa kamati kuu wawaweke misukule yao ben saanane na yericko nyerere
 
Hivi ndoto zake za kumtaka Kikwete ajekuwa campaign manager wake katika harakati zake za kugombea nafasi ya URAIS kupitia CHADEMA 2015, kule Dodoma ziliishia wapi?
 
Hili zee mi ntakufa nalo 2015 nta hakikisha halipenyi kura za maoni.
 
Back
Top Bottom