Sr. Magdalena
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 803
- 472
Mbunge wa CDM, Mh John Shibuda, amesema yeye ni sawa na nyambizi na kamwe hakuna wa kumtoa CDM, amedai CDM ni mali ya watanzania walio wanachama wa CDM na kamwe wanachama wa chama hicho hawatakubali chama hicho kuendeshwa kibabe na kihafidhina na viongozi wachache wanataka kuhodhi madaraka kwa nguvu.
Source: Raia Tanzania
Source: Raia Tanzania