Shibuda maji ya shingo Maswa

Shibuda maji ya shingo Maswa

TADEA!!!!! Mbona Sijaona Hata Wagombea Wao Wa Udiwani Tu POPOTE Pale!!! Nasikia Amezindua Kampeni Last Sunday!!! Tehe! Tehe! Tehe!! Alidhani CCM Wangempa Misaada!! Alijipendekeza Kwao Kwa Kiasi Cha Kukidharirisha CHAMA Kilichompatia Nafasi Ya Kugombea Ubunge!!!! Ndio Kwishineiiii!!!!
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Ukiambiwa namna chadema ilivyomuokoa na kunyongwa shibuda hasa baada ya zile tuhuma za mauaji 2010 unaweza ukalia ! Asikudanganye mtu , malipo ya uovu ni hapahapa duniani .
 
Taarifa za kampeni kutoka jimboni maswa zinadokeza kwamba hali ya kisiasa ya mgombea ubunge wa Tadea ndugu magale shibuda ni mbaya mno , tetesi zaidi zinasema hana uhakika hata wa kupata kura 100 , hana uwezo hata wa kufanya kampeni , hakika laana ya usaliti ni kubwa na mbaya sana .

Mshahara wa dhambi ya ubabe na usaliti wake; alifikiri CCM watamsaidia kwa kuibomoa CDM. imekula kwake!
 
Mshahara wa dhambi ya ubabe na usaliti wake; alifikiri CCM watamsaidia kwa kuibomoa CDM. imekula kwake!
hakika Mungu yupo na anatenda , huyu aliokotwa na kuhifadhiwa na chadema akiwa ametupwa kule na ccm lakini shukurani yake ikawa usaliti !
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Taarifa za kampeni kutoka jimboni maswa zinadokeza kwamba hali ya kisiasa ya mgombea ubunge wa Tadea ndugu magale shibuda ni mbaya mno , tetesi zaidi zinasema hana uhakika hata wa kupata kura 100 , hana uwezo hata wa kufanya kampeni , hakika laana ya usaliti ni kubwa na mbaya sana .
Na huyu msaliti mwingine Kigoma mjini hali yake vipi?!
 
Hivi yule mtaalam wa vijembe nchini, mwenye rangi nyingi, mara huku mara kule ambaye hatimaye alihamia chama cha Kambona cha TADEA yuko wapi?

Kashinda ubunge au anatafuta gear ya kurudi CCM?

Ama kweli siasa ni mchezo mchafu!
 
Back
Top Bottom